econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
siyo kweli na kujikwaa siyo kuanguka.
Hivi wewe hujawahi kukosea kitu huko kazini kwako? Muacheni jamani
Kweli mkuu, Mimi hukosea hapa ofisini, ila huwa najirekebisha. Sasa spika kapiga chini hoja ya mbolea, hoja ya ripoti ya CAG lakini akakubali hoja ya kumpongeza Rais Samiah. Wabunge wakapitisha azimio la kumpongeza Rais, ila kujadili mbolea inayowagusa wananchi kagoma. Wamtoe tu.