Tetesi: Wabunge kumpigia kura Spika wa Bunge kutokuwa na imani

siyo kweli na kujikwaa siyo kuanguka.

Hivi wewe hujawahi kukosea kitu huko kazini kwako? Muacheni jamani

Kweli mkuu, Mimi hukosea hapa ofisini, ila huwa najirekebisha. Sasa spika kapiga chini hoja ya mbolea, hoja ya ripoti ya CAG lakini akakubali hoja ya kumpongeza Rais Samiah. Wabunge wakapitisha azimio la kumpongeza Rais, ila kujadili mbolea inayowagusa wananchi kagoma. Wamtoe tu.
 

Kweli kabisa mkuu.
 
Wabunge wa chama kipi? CCM hawa wa kupita bila kupingwa au wapi hao? Labda kama Kuna wabunge mamluki kutoka nje.
 
Upo sawa, nadhani kuna kanuni anazisimamia Mhe.Spika. Kama kuna haja ya kujadiliwa masuala hayo ingebidi bunge libadili kanuni hizo zilizopo kwa sasa. Je, kama angeruhusu Wabunge wajadili suala hilo tofauti na kanuni zilizopo si ungesema Spika hafuati sheria/kanuni?

Hebu pitia kanuni na sheria zinasemaje kuhusu masuala ya ukaguzi wa CAG halafu uzilete humu tuzisome ili kupata uelewa.
 
Bangi yenye mbegu Mbaya sana.
 
Mchepuko wa bwana joni una stress (UH imefikia 150%) hasa baada ya joni kusepa. Spika wa bunge la chato hana uelekeo tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…