siyo kweli na kujikwaa siyo kuanguka.
Hivi wewe hujawahi kukosea kitu huko kazini kwako? Muacheni jamani
Yaani wampinge 1 of their own?
Huyo spika alizoea bunge lenye wapinzani, na akawa kazi yake ni kuwakomoa kwenye kila hoja yao. Matokeo yake tabia ile imegeuka kilema kwake, hivyo kila mwenye hoja kinzani na serekali kwake ni kumzuia tu. CCM vumilieni upuuzi mlioulea kugeuza bunge kuwa chombo cha kuikinga serekali, badala ya kuisimamia na kuiwajibisha.
[emoji44][emoji2][emoji125]Ndio sio John ni Joni
Nchi ya mashabiki wa Simba na Yanga tuu !!Spika anapozuia bila kutoa maelezo ya maana huwa ana maana gani? Yeye anasimamia bunge la wananchi wa Nchi ya Wapi?
Duh !Spika anayelinda ufisadi kwa nguvu zote.
Ubavu wanao lakini ?! Separation of power inafanya kazi ??!!Kama anapotoka na kuwaharibia sifa wabunge bora wamtoe.
Asante,wanaimba kama waimbaji wengineMbuzi wa bwana Joni, shamba la bwana Joni, mazao ya bwana Joni, masoko ya bwana Joni..! Ngoja tuone!
Upo sawa, nadhani kuna kanuni anazisimamia Mhe.Spika. Kama kuna haja ya kujadiliwa masuala hayo ingebidi bunge libadili kanuni hizo zilizopo kwa sasa. Je, kama angeruhusu Wabunge wajadili suala hilo tofauti na kanuni zilizopo si ungesema Spika hafuati sheria/kanuni?Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Hapo kwenye bwana Joni, weka Bwana HeriMbuzi wa bwana Joni, shamba la bwana Joni, mazao ya bwana Joni, masoko ya bwana Joni..! Ngoja tuone!
Zenye mashiko ni zile za ushoga mkuu.Hizo tetesi ni zako mwenyewe na hoja zilizotajwa hazina mashiko
Bangi yenye mbegu Mbaya sana.Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Mshana Jr bana.Mbuzi wa bwana Joni, shamba la bwana Joni, mazao ya bwana Joni, masoko ya bwana Joni..! Ngoja tuone!
Mchepuko wa bwana joni una stress (UH imefikia 150%) hasa baada ya joni kusepa. Spika wa bunge la chato hana uelekeo tena!Huyo spika alizoea bunge lenye wapinzani, na akawa kazi yake ni kuwakomoa kwenye kila hoja yao. Matokeo yake tabia ile imegeuka kilema kwake, hivyo kila mwenye hoja kinzani na serekali kwake ni kumzuia tu. CCM vumilieni upuuzi mlioulea kugeuza bunge kuwa chombo cha kuikinga serekali, badala ya kuisimamia na kuiwajibisha.