Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Upuuzi tu uliojaa wivu mikoa inagawanywa na kuongezeka kwa lengo la kusogeza na kuharakisha huduma kwa wananchi, wao ni akina nani na kwani nini wapinge, Kagera haina uspecial wowote, ilimegwa Mwanza, Arusha, Shinyanga, Mbeya, Rukwa, Iringa wao ni nani hadi wapinga huu mwendelezo wa kugawa mikoa?

Upopoma wa kindezi kabisa roho ya uchoyo, ubinafsi na kupenda kujiona bora itawaua pumbavu kbsa na mashavu yenu ya senene.

Wapende wasipende Mkoa wa Chato ushaiva kwenye hili Rais Ndugu Madam Hassan asifanye utani na ulegevu wa kuwasikiliza hawa wahaya uchwara.

Ni upumbavu kuwapa fursa ya fitina watu wenye choyo, ubinafsi, wivu kithiri usio na tija na wenye ubaguzi hasa kutopenda kuchangamana na wengine.
 
Chato ya nn wakati magu hayupo

Chato ina miradi ya kitaifa. Isipofanywa mkoa hiyo miradi itakuwa magofu.
So hakuna namna zaidi ya kupafanya mkoa ili miradi iendelee kuwa hai.
Mkoa wa Rubondo kitawekwa kituo kikubwa cha kusafisha mafuta ya Uganda..kwa ajili ya kuuza kanda ya ziwa,burundi,Congo na Rwanda
 
Wabunge wa kagera ni wanafiki na vilaza..eti ikimegwa ukubwa wa eneo utawapungukia..kwani kagera ni nchi..na ikimegwa hicho kipande kitaenda Burundi?mnataka eneo kubwa ambalo limejaa umasikini wa kutupa..anzeni kwanza kutengeneza stendi ya bukoba ambayo imewashinda ndio mnje kuleta hili pingamizi..jinga nyinyi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwenye hili ujuaji wa kihaya ni wa kioopoma kabisa, hawa washenzi wameshiriki vikao vya kugawa mikoa mingine yote pumbavu zao wao wawe kama nani kupinga hoja walizotolea maamuzi nabkushadadia kwenye kugawa mikoa mikoa mingine.

Hawa wakidekezwa kuwapa nafasi ya malumbano ni utopolo wa akili

Maudhui na dhamira iko wazi mikoa inagawanywa kukidhi haja ya huduma za kimaendeleo serikali isifanye ubaguzi wa kuwafanya wahaya special.

Mkoa wa Chato upatikane kwa haraka kwanza Kagera iko kiutopolo sana kimaendeleo imagine hata internal migration ya watz kutoka sehemu zingine kwenda kutafuta riziki kagera ni close na zero.
 
Hoja kubwa wanasema hizo wilaya zinazotakiwa kumegwa, pamoja na Chato, wakazi wake wengi ni warundi, kiusalama, ina hatari.

Wakimbizi wa Burundi walifanikiwa kutoa Rais wa Tanzania!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sio wa kagera ila kugawa mkoa kwa Nia ya ubinafsi wa kiongozi mmoja ni hasara how about history ya mkoa wa kagera, hao wabunge wa ngara acha wasaidiwe kama wamelala kutetea mkoa mzima wa Kagera, hafu why chato wakati Kuna mikoa mingi mikubwa kuliko Geita na hawajapeleka hyo kugawa.
Umaskini nchi hii utaisha kwa serikali kupeleka maendeleo Hadi ngazi ya chini kabisa na sio kuongeza mikoa na wilaya ambazo zitaongeza cost of administration.
 
Vipi mkoa wa Tabora na wenyewe umegwe pia why chato?
 
Mkoa kumegwa si tatizo kubwa bali hoja ni kuwa kuanzishwa kwa mkoa kunamnufaishaje mwananchi wa kawaida.
Ni wananchi wangapi wanaohitaji huduma za kimkoa.

Wananchi wengi tunahitaji kurahisishwa/kuboreshwa kwa huduma za vitongoji, vijiji na kata.
Nakumbuka miaka ya karibuni kuna baadhi ya vitongoji viliungwa vikaongezwa ukubwa.

Tusaidieni kupunguza ukubwa wa maeneo yaliyo jirani yetu.
Wapeni posho, vyombo vya usafiri, vifaa vya kazi nk viongozi wa chini ili wawahiudumie wananchi kwenye vitongoji, vijiji na kata zao.

Kuanzisha mkoa kuna gharama kubwa mno ikiwamo majengo, magari, mishahara na mengineyo.
Kuboresha maeneo ya chini kutaharakisha maendeleo.

Naamini hitaji la wananchi si Wilaya wala mkoa mpya.
Tuleteeni wataalam wa kilimo, afya, elimu, maendeleo na ustawi wa jamii, mifugo nk huku chini.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Mega projects za wakati huo zilizojengwa Kwa nguvu ya mkoa zilibaki kunufaisha wahaya mfano mmojawapo ni shule. Ni kweli wahaya na wahangaza wano mwingiliano wa muda mtefu japo kuna comparative disadvantage inayojitikeza kutokana na makao makuu kuwa Kwa mhaya. Serikali ikifanya haya inayotarajia kuyafanya iwe ni Kwa lengo la ku boost hizi wilaya zilizotopea kwa imaskini japo ngara itajikomboa soon kutokana na nickel na madini mengine kadhaa .
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tunajua lengo lako mkuu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ila kuna mikoa NI mikubwa sana
 
Wana kagera msikubali mnaamishwa chato, huko ni kuharibu historia ya mkoa wenu ilianza kumegwa biharamulo na sasa ngara, kisa interest za kiongozi mubinfasi.

Lakini ki uhalisia ukiangalia umbali uliopo kutoka Ngara hadi Bukoba ni 280Kms,Wilaya ya Ngara ni kama imetengwa kabisa Ki Mkoa.Binafsi ni sahihi Ngara kuletwa Chato kwa maana ya huduma za Ki Mkoa.Pengine kinachogomba hapa nj jina Chato kuitwa Mkoa.
 
Mi naona hizo wilaya za Biharamulo na Ngara zichukuliwe tu maana ndo zinaurudisha nyuma mkoa wa Kagera kitakwimu katika kila sekta. Hao wasukuma + wasubi wa Biharamulo na wahangaza wa Ngara wapo nyuma sana. Wakwende tu.

Kwanza mkoa ukiwa mdogo si ndo safi, huduma zinakuwa nzuri kwa kuhudumia eneo dogo na watu wachache zaidi? Wanakumbatia za nini wakati wameshapata mtu wa kuwasaidia kuzichukua hizo wilaya zinazofanya vibaya kiuchumi, kielimu, kimaendeleo, n.k??

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini wapinga hoja ya kuanzishwa kwa mkoa wa chato siyo wabunge kutoka wilaya pendekezwa ya biharamulo na ngara

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Mkoa wa kagera ni maskini in general usiwasingizie hao sijui wasubi na wengine kwa kujiona wahaya ni Bora aisee
 
Lakini ki uhalisia ukiangalia umbali uliopo kutoka Ngara hadi Bukoba ni 280Kms,Wilaya ya Ngara ni kama imetengwa kabisa Ki Mkoa.Binafsi ni sahihi Ngara kuletwa Chato kwa maana ya huduma za Ki Mkoa.Pengine kinachogomba hapa nj jina Chato kuitwa Mkoa.
Bado chato haifai kuwa mkoa ulikuwa ubinafsi tu wa jiwe aisee Yani wilaya imeze mkoa wa Geita selfish idea kabisa hyo
 
Nakubaliana na hili wazo lako tatizo kubwa nchi hii sio mikoa na wilaya nyingi ila huduma kwa Raia ndio changamoto kwanini serikali isiraisishwe utendaji kazi Hadi ngazi za kijiji mtu apate huduma zote muhimu kuliko kuhangaika Hadi wilayani sijui mkoani huko huwa si ku solve tatizo, huduma za msingi zipelekwe Hadi ngazi ya chini na watendaji wawezeshwe Mimi huwa na kereka kila jambo mtu upoteze mda Hadi wilayani na ukienda wilayani wakuzingue na kukusumbua.
 
Nshomilez mkimegwa Chato bado mtabaki na unshomilez wenu nini mbaya eboo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…