Upuuzi tu uliojaa wivu mikoa inagawanywa na kuongezeka kwa lengo la kusogeza na kuharakisha huduma kwa wananchi, wao ni akina nani na kwani nini wapinge, Kagera haina uspecial wowote, ilimegwa Mwanza, Arusha, Shinyanga, Mbeya, Rukwa, Iringa wao ni nani hadi wapinga huu mwendelezo wa kugawa mikoa?
Upopoma wa kindezi kabisa roho ya uchoyo, ubinafsi na kupenda kujiona bora itawaua pumbavu kbsa na mashavu yenu ya senene.
Wapende wasipende Mkoa wa Chato ushaiva kwenye hili Rais Ndugu Madam Hassan asifanye utani na ulegevu wa kuwasikiliza hawa wahaya uchwara.
Ni upumbavu kuwapa fursa ya fitina watu wenye choyo, ubinafsi, wivu kithiri usio na tija na wenye ubaguzi hasa kutopenda kuchangamana na wengine.