Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Kama Chato inakuwa mkoa kwanini Machame, Marangu, Mamba, Mwika, Kirua na Rombo zisiwe mikoa?
 
Nimefika Chato. Ile wilaya JPM aliijaza miradi mikubwa sana ya kitaifa.
Uwanja wa ndege.
Miradi kibao ya NHC.
MABANKA MAKUBWA.
IKO MIRADI MINGI SANAAAAAA.

HII MIRADI ISIPOTENGENEZEWA MIKAKATI YA KUITUMIA ITAKUFA NA SERIKALI ITAPATA HASARA.
KUIGEUZA MKOA NI SOLUTION ILIYOPO.

SABABU ZA WAHAYA KUUKATAA MKOA WA RUBONDO ZIMEKAA KIHUNI TU.
Kwa hoja yako wewe basi mkoa uwe wa Biharamuro Chato iwe ni wilaya ya mkoa wa Biharamuro.

Hatutaki ubinafsi hapa, Nyerere hakufanya upumbavu kama wa huyu Mwendakuzimu.
 
Hawana ubavu wa kuigomea CCM kama itaamua kuipa Chato hadhi ya kuwa Mkoa (Manispaa) , kwa hiyo hata kama hoja zao zina mashiko ila chama ndicho kinaongoza Serikali na ndicho kitamuua.
Mama ndio hataki kabisa kusikia huo ujinga wa Chato kuwa mkoa.
 
Mama ndio hataki kabisa kusikia huo ujinga wa Chato kuwa mkoa.
ni kweli ndugu, mfumo wa CCM kwa sasa Mwenyekiti akitamka kitu mkutanoni hakuna wa kuguna..ukiguna guna unakutana na wazee wa suti nyeusi getini 🤣🤣🤣

Kwa hiyo tunasubiri uamuzi wa maza - kama ni mkoa basi aupe mapema ili tusahau.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nchi masikini zinang'ang'ania kuongeza idadi ya mikoa au majimbo yao, haswa ili kukidhi matakwa na matamanio ya viongozi wa kisiasa. Gharama kubwa inaenda kwenye utawala. Huduma za jamii zinabaki nyuma.

Nchi tajiri hazishughuliki na kugawa states/ landers/ counties au cantons zao. Zinahakikisha huduma muhimu kwa wananchi zinafika kila sehemu bila kujali mambo ya mikoa au majimbo.
 
Wana kagera msikubali mnaamishwa chato, huko ni kuharibu historia ya mkoa wenu ilianza kumegwa biharamulo na sasa ngara, kisa interest za kiongozi mubinfasi.
Acha utopolo wewe unataka wana Ngara na Biharamulo waendelea kupata shida kufata huduma Bukoba ambako ni mbali sana. Hayakuhusu kaa kimya!!
 
Acha wajitenge maana wasubi, wahangaza, nk wamebaguliwa sana na hao akina nshomire......
Uzuri wa ubaguzi huwa hauishii kwenye "wapemba na waunguja" ndani kabisa kuna wanyambo, waziba, wahamba, wanyaihangiro, wahyoza, waendangabo, nk!
Aibu hao shomire kuwabagua wengine wakati sioni utifauti wao eti umaskini wao wa mkoa wanasingizia wilaya nyingine.
 
Acha utopolo wewe unataka wana Ngara na Biharamulo waendelea kupata shida kufata huduma Bukoba ambako ni mbali sana. Hayakuhusu kaa kimya!!
Huduma hazitakiwi kufuatwa, huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu.

Ndio maana huwa mna chuki na wachaga wenzenu wilaya zao zote wanajitoshereza mpaka vijijini unskunywa maji ya bomba na wana umeme na lami na hawajawahi kutowa Rais Mchaga.
 
ni kweli ndugu, mfumo wa CCM kwa sasa Mwenyekiti akitamka kitu mkutanoni hakuna wa kuguna..ukiguna guna unakutana na wazee wa suti nyeusi getini 🤣🤣🤣

Kwa hiyo tunasubiri uamuzi wa maza - kama ni mkoa basi aupe mapema ili tusahau.
Mbona mama ameshalimaliza hilo, ni kwamba tu anatumia polite and diplomatic language.

Issue ya Chato Causa Finita Est.
 
Huduma hazitakiwi kufuatwa, huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu.

Ndio maana huwa mna chuki na wachaga wenzenu wilaya zao zote wanajitoshereza mpaka vijijini unskunywa maji ya bomba na wana umeme na lami na hawajawahi kutowa Rais Mchaga.
Inaongelewa Kagera, ww unaleta uchaga, mna shida gani, Kwanza nyinyi ndiyo mnawachukia wahaya. Niliwahi kufanya interview sehemu fulani, Manager ni mchaga wa Rombo, siku nalipoti kazini, akaniita ofisini kwake akasema nenda kabila lako likuajiri.
 
Acha utopolo wewe unataka wana Ngara na Biharamulo waendelea kupata shida kufata huduma Bukoba ambako ni mbali sana. Hayakuhusu kaa kimya!!
Siasa za jiwe za kibaguzi hizo na kikanda angekuwa hai nchi hii ingeingia kwenye ukabila mubaya sana na hizi division zake, very shame
 
Inaongelewa Kagera, ww unaleta uchaga, mna shida gani, Kwanza nyinyi ndiyo mnawachukia wahaya. Niliwahi kufanya interview sehemu fulani, Manager ni mchaga wa Rombo, siku nalipoti kazini, akaniita ofisini kwake akasema nenda kabila lako likuajiri.
Mimi siyo mchaga, umebugi, soma vizuri hoja yangu, you're listening too slowly.
 
Huduma hazitakiwi kufuatwa, huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu.

Ndio maana huwa mna chuki na wachaga wenzenu wilaya zao zote wanajitoshereza mpaka vijijini unskunywa maji ya bomba na wana umeme na lami na hawajawahi kutowa Rais Mchaga.
Ndio maana wanataka wapelekewe mkoa karibu ili wapate huduma karibu
 
Ndio maana wanataka wapelekewe mkoa karibu ili wapate huduma karibu
Jielewe huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu kama Magufuli alivyowapendelea watu wake wa Chato.

Chato kilikuwa ni kijiji, Magufuli akatumia effort zote kuipendelea Chato, sasa kilichofanyika Chato kinawezekana kufanyika nchi nzima.
 
Siasa za jiwe za kibaguzi hizo na kikanda angekuwa hai nchi hii ingeingia kwenye ukabila mubaya sana na hizi division zake, very shame
Yule ni Mrundi, Watanzania hatuna la roho za kishetani.
 
Back
Top Bottom