Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
Kitendo cha CHADEMA kuhama kutoka kwenye chama cha wanaharakati kwenda chama dola sio kibaya ila inaonekana some tips are missing on the whole process.Chadema sasa sio ile ya kusimamia maadili, sio ile ya 'opersheni sangara', 'list of shame' na makamanda wa uhanarakati. Kipindi kile watu walikipenda chama na ideology yake...
Umetumia zaidi ya dakika 10 kuandika huu uchafu uliokujaa kichwani, huu muda uliopoteza ungemsaidia dada yako kuosha vyombo hapo kwa shemeji yako angekuona wa maana sanaNiliandika hapa siku si nyingi, kwamba chadema itaingia kwenye wiki mbili ngumu mno. Naona yameaza kutokea. Mwenyekiti anapaswa mawazo yake yawe shirikishi, huwezi kutoa maamuzi kama vile unaowaongoza ni watoto wa nursery...
Yalikuwa ni maamuzi ya mihemko. Hakutakiwa kabisa kuwafukuza uanachama. Ingekuwa ni vema zaidi kama angeonesha ukomavu kwa kukubaliana na fikra zao tofautiKitendo cha mwenyekiti kusitisha wabunge wasiingie bungeni kilikua ni cha maamuzi mabaya mno. Mwenyekiti hakusoma alama za nyakati. Wanaweka rehani posho zao za mamilioni na uhakika wa kurudi bungeni ni mdogo, hivyo kwa mantiki hiyo wata wanaamua kujilipua na kua nunda.
Hajaandika uchafu, what he said is exactly right, na ndio maana inaonekana dhahiri kwamba itatuchukua muda mrefu sana kukomaa kisiasaUmetumia zaidi ya dakika 10 kuandika huu uchafu uliokujaa kichwani, huu muda uliopoteza ungemsaidia dada yako kuosha vyombo hapo kwa shemeji yako angekuona wa maana sana
Hivi kama walishasema wanaenda upande wa pili waachwe tuu waendelee kufanya uharibu? Hivi mke wa Chuwa akamwambia Chuwa ifikapo July 2020 sitakuwa nawewe naenda kuolewa na Massawe, unataka Chuwa aendelee tuu kuishi na huyo mke hadi July 2020 amkabidhi Massawe?NCHI IPO KWENYE HARAKATI ZA KUPAMBANA NA CORONA WAO WAPO BUSY NA KUFUTA WABUNGE UANACHANA HAWA HAWANA UCHUNGU NA HILI TAIFA TUWAPUUZE WAMETUMWA NA MABEBERU
Mkuu . . . comment yako nimeitunza. Ile CHADEMA ya uanaharakati ilitikisa sana. CHADEMA ilikua kwenye peak yake. Zinatakiwa juhudi zaidi kurudisha muziki ule katika ulimwengu wa siasa za nchi yetuChadema sasa sio ile ya kusimamia maadili, sio ile ya 'opersheni sangara', 'list of shame' na makamanda wa uhanarakati. Kipindi kile watu walikipenda chama na ideology yake. Saizi wamekua kama CCM ni masilahi mbele... Sasa kila mtu anaangalia tumbo. Baada ya uchaguzi 2020 kutakua na mabadiliko makubwa bungeni, upinzani hautakua huu, na CDM litabaki jina... Tunzeni hii comment
Siyo hawa hawa akina Mnyika na Mbowe waliokwenda Mwanza kuomba maridhiano?Acha kujidanganya mwenyw hukumbuki kuna watu walikwenda kuungama Ikulu kwa bwana yule?au ulikuwa mtt?
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA ni chama makini sana!!
Thubutu unataka atembee kwa miguu toka kwao mafichoni kuja dar kwa furaha.nasikia wamempitisha Magufuli kuwa mgombea wao wa kiti cha urais
Mkuu umesema kabla ya 2015 walikuwa hawana vurugu? Hvi kuna vurugu zaidi ya maandamano ya Arusha 2011, au mauaji kwenye zile chaguzi ndogo ama Kupigana bungeni zaidi ya kipindi cha before 2015?Sidhani kama tunaweza kujadiliana hili kama hujui kuwa hivi majuzi wabunge wa CHADEMA walifanya vurugu gerezani hadi wakatiwa ndani. Cheap populist politics hazisaidii. Tunajua kuwa wakati mwingi sana polisi wetu huwa wanatumia nguvu kubwa kuliko stahiki, lakini vile vile kuinstigate fujo kusudi ushughulikiwe na polisi halafu utafute huruma ya wananchi siyo busara na wala haisaidii mstakhbali wa nchi. Kwa mbunge kususia vikao vya bunge bila kuoa motion to adjourn bungeni ni sawa kabisa na mimi kususia amri ya kutokuiba nikaenda kupora benki kwa nguvu; yote ni uvunjaji wa sheria na kanuni.
Hoja sio kudiscredit ila generalisation ndio napinga.If you think I am too low, the best you can do, just don't read me; it doesnt bother me at all. Elewa kuwa mimi sikupiga picha hiyo. Katika mambo kama hayo, ungeleta upande wa pili kuliko kuwa discredit watu hao bila kuwa na ushahidi wowote. Hiyo tabia ya kudharau watu ndiyo mbaya sana katika siasa, nadhani ndiyo imekuwa sera ya siasa za CHADEMA. Mimi siwajui watu hao, ni video iliyofunguka nilipomaliza kumsikiliza Mnyika youtube, na nikawa interested nayo. Wewe tafuta video ya ku-counter madai yao tu.
Kubenea sijui wanamchelewa Nini
Lijualikali anaweza pewa muda Yule kjjana usikute ushawishi ulimshinda .
Kama mtu anazingua atimuliwe aende anakoona kunafaa sio kupiga kelele halafu bado Yuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasubiri sana kwa dua lako mithili ya like la kuku na mwewe!Wangetangaza kujiondoa kwenye uchaguzi mkuu kabisa ili waendelee kukaa karantini.
Una matataizo ya uelewa; na sababu kubwa inatokana na ama kutokujua kusoma au kusoma mambo ukiwa na mindeset fulani. Wengine tumekomalia katika kusoma substance, siyo ushabiki kama unavyokomaa hapa.Hoja sio kudiscredit ila generalisation ndio napinga.
Yaani huwezi sema wazee wa HAI wakati kuna kata kibao...
Kma Kutimua CHADEMA ilifanya hivyo tokea zamani, kumbuka ilitimuaga madiwani 4 kwa mpigo, ilitimua kina Shonza na wenzie, ilitimua kina Zitto na wenzie... And well Slaa naye alisusa hao wote walikuwa wazito sana kuliko hawa kina Komu by far ila bado chama hakikuyumba kwa lolote huyo zitto akaambulia 1% pekee!!Niliandika hapa siku si nyingi, kwamba chadema itaingia kwenye wiki mbili ngumu mno. Naona yameaza kutokea. Mwenyekiti anapaswa mawazo yake yawe shirikishi, huwezi kutoa maamuzi kama vile unaowaongoza ni watoto wa nursery...
Kuwa loyal kwa chama kwanza, bila chama hao wananchi wangemchagua vipi.Uonevu tu umefanyika. Kwani kati ya mbunge anatakiwa kuwa Loyal kwa Chama au Wananchi?
Sent using Jamii Forums mobile app