Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Membe amefutwa kwasababu ya kutangaza nia ya kugombea urais ila hao silinde,komu,lwax ni kukiuka maagizo ya chama,ushaona utofauti hapo?Akifutwa uanachama Membe kelele nyingii hapo ufipa lakini leo hatusikii hizo kelele, ha ha ha.