Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Imeisha hiyo tusubiri surprise ya mkataba mwingine!
Ila hili lishapita hapa tunamsubiria mwarabu atue rasmi,
 
Paskal, kama serikali yetu imeshindwa kusimamia na kuendeleza bandari iliyopakana na Ikulu, je inaweza kusimamia uchimbaji wa Nickel kule ngara?

JPM hakuwahi kukiri kushindwa !!

Paskal Ukiona mke wako ameshindwa kukujengea nyumba ya kuishi utamwambia atafute mume mwingine Ili akujengee Wewe nyumba ya kuishi?


Nikutakie sabato njema
 
Wabunge hakuna wa kupinga hata kuleta positive challenge wanaenda kuchukua posho tu
 
Prof. Mbarawa namsikiliza ila simuelewi kabisa !
 
Hayo mambo nia aibu; hawawezi kuyaweka wazi hata siku moja maana wameshafanya ujinga
Katika hizi ngonjera na sijaskia serikali itanufaikaje kifedha. Watapata asilimia ngapi katika hio faida itokanayo na uendeshaji?
 
Wabongo wanachekesha sana
Kuna vitu vya msingi sana vinavyoathiri maisha yao moja kwa moja kama Elimu, Huduma ya Afya na Uhuru wa mahakama, ambavyo tumenyimwa waziwazi na serikali lakini wamepiga kimya na kuridhika.
Mnajibebesha kudai vitu vikubwa na kutaka kujua uendeshaji wa Bandari mara Madini,

acheni ujinga......
 
Wacha tujadili mambo ya Bandari usitupotezee lengo
Naona hujapenda mama alivyoupiga mwingi. Tuendelee:

Ports and terminals are the gateways to smarter, more efficient and more secure global supply chains.

We are hard at work reimagining the future, with step-change terminal handling innovations designed to streamline our global network of ports and keep things flowing.

Smart innovations like BoxBay, our intelligent High Bay Storage (HBS) system, are disrupting business-as-usual: increasing terminal handling speed, energy efficiency and safety, while decreasing operating costs.

Looking to the future, we have invested in Virgin’s revolutionary Hyperloop technology, an advanced, on-demand, incredibly fast cargo pod system that will give cargo owners synchronised, seamless and intelligent movement of goods.

Tafsiri yake :

  • Menyu

Funga


BANDARI NA VITUO​

Kufikiria upya bandari za kesho kwa wamiliki wa mizigo wa leo
Bandari na vituo ni lango la minyororo nadhifu, bora zaidi na salama zaidi ya usambazaji wa kimataifa.

Tunafanya kazi kwa bidii katika kufikiria upya siku zijazo, tukiwa na ubunifu wa ushughulikiaji wa mabadiliko ya hatua ulioundwa ili kurahisisha mtandao wetu wa kimataifa wa bandari na kudumisha mambo.

Ubunifu mahiri kama vile BoxBay, mfumo wetu mahiri wa Hifadhi ya Juu ya Ghuba (HBS), unatatiza biashara kama kawaida: kuongeza kasi ya ushughulikiaji wa wastaafu, ufanisi wa nishati na usalama, huku ukipunguza gharama za uendeshaji.

Tukiangalia siku za usoni, tumewekeza katika teknolojia ya mapinduzi ya Virgin Hyperloop, mfumo wa hali ya juu, unapohitajika, na wa haraka sana wa kubeba mizigo ambao utawapa wamiliki wa shehena upatanishi, imefumwa na usafiri wa akili wa bidhaa.
 
Kwanini Watanzania hawaliamini Bunge lao lenye wabunge waliowachagua kwa mbwembwe nyingi 2020?
2020 hakukuwa na uchaguzi. Mwendawazimu aliamua kuweka vikaragosi vya kumtengenezea utawala usio na kikomo,bahati Mungu akaingilia kati bali vimeo vyake bado vipo vinaleta usumbufu
 
Bunge kibogoyo la majizi ya kura halina jipya. Hao watapitisha kinachotakiwa na serikali na sio kinachotakiwa na wananchi. Ifahamike hawako huko bungeni kwa kura za wananchi, bali kwa utashi wa Magufuli na serikali yake.
 
Nimemsikiliza Mbarawa hadi Sasa, ni wazi kuwa one Party is much informed than the other Party. Ni Mkataba wa kipuuzi kabisa, in short hauna manufaa yoyote zaidi ya ujanjaujanja tu. By the way, how comes utekelezaji wa mkataba uanze pasipo kuridhiwa. Professor mzima anasoma taarifa ya kipuuzi kabisa. Hauna fact zozote. Shame on him!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…