Wachaga tupe siri na sisi wengine

1.Tafuta orodha ya walifutwa kazi kwa sbb ya vyeti feki
2.Ushirikiana upo, na ndio maana kuna mataaira ya kutosha huko kwenu
3.Kabila la wenye mali nyingi nchi hii ni wahindi
Vijitu vyenye roho nyeusi bhana mwendazake aliwalisha sumu
Vyeti feki Kila jamii ilikuwa navyo,pia Kilimanjaro ndo mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
Fani zile nyeti Wachaga wengi huzisomea kama uhasibu uhandisi, bank, biashara,Sheria,afya kilimo achtecture NK
Ukienda ma universities Fani Hizi wapo most, mabank karibia yote wamejaa,nchi nzima wapo kutokana na exposure ya Elimu
 
NDUGU,
SYSTEM NA UKABILA UMEWABEBA KWA MIAKA MINGI,
 
NA USISAHAU, MNAONGOZA KWA NDOA ZA MIGOGORO NA TALAKA.
 
FUATILIA KUMBUKUMBU ZA WATU WANAO UA WAUME ZAO, WAKE ZAO, WATU WANAO TESA WAFANYAKAZI MAJUMBANI MWAO.
 
Wanaume wa kichaga sijui lkn kwa wadada wa kichaga tehtehtehteh hata usitake kujua😁😁
 
Jifunze kwa wachagga,they are bigger Opportunists!Aggressive and goal oriented.Pia uzuri wao wengi wanathamini value for money.Sio kama wakinga,mamilionea wanakula sukuma week.
 
Nyie ndo mna kelele sana mitandaoni kwa kweli tofauti na wengine.

Nenda Arusha kila mtu anaitwa billionea..Nimeishi na kusoma na waarabu ,wagunya na wasomali hawa watu very humble huwezi kufananisha na nyie moja ya rafiki yangu huyu nimesoma nae shule ya Government ila baba yake alikuwa na pesa mbaya miaka hyo mpaka anaendesha biashara na wana undugu wa karibu na Bakhressa..Pesa wanazo ila anaishi kawaida hata accounts za social media hana


Nafanya kazi na baadhi ya vijana wa huko bado wana ulimbukeni wa kuvimba unaweza kucheka😂😂 yupo mmoja hapa kuvimba kote alishawahi kutaka kunikopa na ni pesa ndo ila nilishtuka atakuwa tapeli maana ile pesa ni mara 6 ya mshahara yaani ndogo sana ila nikashangaa eti ananikopa kama sio utapeli ...Kama kununua magari kawaida sana wala sio kuwa na pesa wapo madalali wanabadili tu daily ...

ukifika huko utasikia neno "nina mahela"

Wachaga matajiri wapo wengi ila sio wa media katika media wachaga wengi ndo wanavimba haswa madogo .

unawajua hapa jf wengi weny kelele pesa hawana maana wanajitetea sana kama unabisha angalia uchumi wa nchi umeshikwa na kina nan ? wao wapo kimya .!

Halafu magari ni gharama wengine wanayo ila wanaweza mwezi wakapanda mwendokasi wakayaacha..
 
Kisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha
 
Kisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha
Mo na bakhera ni matajiri sio nyie wachuuzi ndani ya nchi yetu wanaongoza wahindi na waarabu nyie kelele tu...Natambua matajiri ni wahindi na waraabu nyie wengine wachuuzi na kelele plus utapeli na wizi😂😂😂.

Mkisemwa eti chuki mara ngapi mnatusema tupo kimya...Kaeni kwenu msije mikoa ya watu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…