Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #41
Nimeuelewa mchoro wako. Eneo nusu la uwanja (Half space) halipimwi kwa mapana bali kwa marefu. Hulitizami toka kushoto ama kulia bali toka chini kwenda juu ya mchoro wako.1)Ukitoka kwa golikipa pita katikati ya uwanja kuelekea kwa golikipa mwingine kule
2)Ukitoka kwa beki mbili nenda kwa namba saba maliza uwanja.
Half space ni katikati ya maeneo mawili niliyoeleza hapo juu. Hata ukitumia upande wa beki 3 na namba 11 pia ni half space kuna eneo ni half space.
Limeitwa eneo nusu la uwanja kwa kuwa kulia na kushoto mwa uwanja kuelekea kwa Golikipa wa timu nyingine hakuna ile mistari ya Golini. ndipo ama mchezaji mshabuliaji ama beki hukaa.