Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
kama hatujui Kiingereza tungetoa tafsiri yake!!?Jifunzeni lugha ya kingereza sio mnaishi kwa kulalamika hata kwa Mambo Madogo
Au wewe unadhani Kiingereza ni Lugha ya mungu kwa ivo ili uijue ni lazima uwe malaika au mtakatifu??