[emoji23][emoji23][emoji23]Nooooo.....kumbe nalala na mchawiii ooooo my god
Nina maswali kadhaa kwako mchawi wa Sumbawanga.
1. Hivi nyama ya mtu tamu na utamu wake ni kama wa nyama gani?
2.Umesema ulipokuwa Kariakoo wachawi wenzio walikuwa uchi, wewe je, ulikuwa uchi?
3.Halafu mimi nashangaa sana. Ninyi wachawi zamani mlikuwa mnajificha sana,lakini siku hizi mambo hadharani,kama wewe sasa unajitangaza tu bila aibu kwamba umchawi,na kwa kweli wachawi ni watu ambao kwenye jamii hawakubaliki.Nini kimetokea?Naomba kujua.
Nadhani analijuaMshana anajuwa hili?
[emoji13] [emoji13] mwendee kwa wataalamuOk basi nifanyeje ili nimloge afisa mwajiri ili aniajiri.
[emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]Ntakupm mkuu maana huu Unanisumbua Sana. Siku moja nusu nianguke maeneo ya wazo hill tegeta.
Cc.mshana jrasee Mimi huwa sielewi kazi yenu mbadala, mmejaa visasi na roho mbaya. mnaondoa roho zisizo na hatia. hakika hamjui mlitendalo
Maamuzi mkuunimegundua kitu, wewe siyo mchawi either umeanzisha Uzi huu kwa lengo lako maalum
[emoji40] [emoji40] hakuna mbwe mbwe hapoShedede Mbona mbwembwe nyingi mkuu?
[emoji40] [emoji40][emoji23] [emoji23] [emoji23] unprofessional Siku hizi jf kumejaa utoto mwingi
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji123]HONGERENI SANA KWA TECHNOLOGY YETU YA KIUCHOYO UCHOYO
Siwezi kukuambukiza[emoji13] [emoji13]Nipe hirizi asiniambukize uwanga wake
Acha aisee! Ukae kulihi?![emoji12]Abriiitah maghhhtah choroooge chiiite....chite ukae chiiiite.....chite ukae..........mmmmmmh...
Niko hapa mchawi kutoka bongo movie
Wachawi=wanadhuru, wakurestisha in peace kabisa ukilemaa.Wachawi na wanga tofauti?
Ili kama wanga wapo pia wajue wakakutane wapi
Ngoja leo waje kukunyoa nywele za eneo pendwa! Labda ndio utakubali.Acha kuhadaa watu...uchawi haupo
Duuh kwahyo bora kuwa mchawi au mwanga? Ukiambiwa uchague kimoja wapo..Wachawi=wanadhuru, wakurestisha in peace kabisa ukilemaa.
Wanga= wazinguaji, wanaweza kukuingiza nyoya la kuku skioni. Kukujaza gesi tumboni ili ijambe tu au wanaweza kukutia vidole kwenye masaburi!![emoji13] [emoji13] raha yao wakuone ukihangaika!
Note; kuna mtu amenielekeza, sjui kama ni kweli!