Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

malaika wa ulinzi hayupo muda wote, malaika ni watakatifu, hawakai na uchafu, kama ingekuwa hivyo basi hata ukienda kuzini guest house, malaika angekuwa pembeni anakusubiri umalize kufunga magoli muongozane kukuongoza hadi home kwako. Malaika wa Mungu wanakulinda au kuwa pamoja na wewe wakati ule unapoishi maisha matakatifu, ukiwa wa Mungu utalindwa na Mungu, ukiwa wa shetani utakuwa na wa shetani. kama ingekuwa kila mwanadamu analindwa na hao malaika basi hata wachawi na waganga wa kienyeji manake wana malaika? nuru na giza tangu lini vina urafiki? Okokeni, acheni dhambi ili mpone na wachawi. na sio hivyo tu, mkaurithi ufalme wa Mbinguni na kuepuka jehanum ya moto wa milele.
 
Ni sawa.

Lakini Nyota inaharibiwaje?

Wanaifanyaje?
 
Ni sawa.

Lakini Nyota inaharibiwaje?

Wanaifanyaje?
Inaibiwa kwa msaada wa majini,na waganga uiza kwa wenye pesa wahitaji.
Nyota ni biashara kubwa Sana kwa waganga na uwapatia pesa nyingi Sana.Nyota ni kipawa kipaji alichokuwekea Mwenyezi Mungu ,kwa maana kila anaezaliwa tayari Mungu ana mpango naye, wakati huo Mungu kampa mwanadamu akili ya kuchagua mema na mabaya maana Mungu sio dikteta.Ukimuacha Mungu nae anakuacha,ukimuita nae uitika,so unachagua nani awe boss wako.
 
Fanya kazi kwa maarifa na bidii. Achana superstition. They are dragging us backwards. Watu wanakesha kuwezesha kwenda mwezini sisi tunasomana viganja. Poor us.
 
Unawaza kujibu ila una uwezo mkubwa wa kujizuia kuongea mengi au hadhari ya ntaonekanaje? Nimejifunza kuhusu alama za vidole na nuksi za ukaribu na wabaya kuwaaamini wabaya pasipo kuwajua Hii inatutafuna wengi sanaaa
 
Unawaza kujibu ila una uwezo mkubwa wa kujizuia kuongea mengi au hadhari ya ntaonekanaje? Nimejifunza kuhusu alama za vidole na nuksi za ukaribu na wabaya kuwaaamini wabaya pasipo kuwajua Hii inatutafuna wengi sanaaa

Kweli kabisa hili la kuwaamini wabaya bila kuwajua anaweza kuwa hata ndugu yako
Nimeliona hili na roho chafu ipo na wapo wabaya sana
 
Hii sio sayansi unayoijua, ubongo ndio nyota katika ulimwengu wa roho.
Japokuwa najuwa kuwa nyota zinakaa angani tu lkn kwa muktadha wa mada niungane na hadhira kwamba nyota zinakaa ndani ya mtu, sasa basi, nijuavyo ni kuwa kinachoweza kuhamisha nyota (siyo kuiondoa yote) ni zinaa na uasherati.
 
22 April Nisaidie Mkuu
Namba zako za bahati ni
2, 4, 6, 11, 20, 29, 37, 47, 56

Nyota yako inaendana vizuri na kazi zifuatazo > mambo yanayohusiana na bustani, vyakula (catering) , muziki, mapenzi , mitindo ya nguo , kazi yoyote ya ubunifu kwa kutumia mikono

Pia una mvuto wa asili

Vyovyote itakavyokuwa lazima uwe na hela sababu ulishapewa hela na asili yenyewe

Una wachawi wengi lakini Mchawi wako mkubwa ni KUPENDA VITU VYENYE THAMANI SANA (LUXURY GOODS)
 
nyota yake ni simba (Leo)...ruled by sun
 
Nabii na Mtume Kalunya.... umefunua.
 
niangalizie tar 26 / 12
Sawa

Namba zako za bahati ni
1, 4, 8, 10, 13, 17, 19, 22, 26

Kazi nzuri kwako ni zile zinazohusiana na masuala ya hela (finance) na umeneja. Ukiwa meneja kwenye kampuni yoyote lazima hiyo kampuni ifanikiwe

Una wachawi wengi wanaokuloga wakiongozwa na TABIA YAKO YA KUTAKA KUFAHAMU KILA KITU PIA WEWE NI MGUMU KATIKA KUSAMEHE
 
Nyota yako ni Sagitarius (Mshale)

Sayari inayorule nyota yako ni Jupiter ( Luck and expansion planet)

Unapenda adventure sana na ni mtu mwenye energy sana, hupendi kubanwa ....

Huwa unafanya maamuzi ya ghafla pasipo kufikiri mara mbili ambayo baadae huwa yanaleta majuto (impulsive decision)
Na Mimi niangalizie 24.11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…