Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Katika list uloweka hapo ukiniamsha usingizini ukasema mchezaji yupi unaemkumbuka wa afrika enzi hizo when fotball was called footbal atakayekuja haraka haraka ni Mnyama Jay Jay Okocha..
That Nigga was one of a kind in his fotball era....! kipindi cha kina zizou, gaucho, ronaldo the original, Joninnho penambucano, lous figo Jamani enzi hizo mpira ulikua buruduni daah..kulikua na watu wana talent ya footbal wamezaliwa nazo sio sahizi wanajifunzia ukubwan watu wapige hela tu
That Nigga was one of a kind in his fotball era....! kipindi cha kina zizou, gaucho, ronaldo the original, Joninnho penambucano, lous figo Jamani enzi hizo mpira ulikua buruduni daah..kulikua na watu wana talent ya footbal wamezaliwa nazo sio sahizi wanajifunzia ukubwan watu wapige hela tu