Wachezaji kumi bora wa Afrika mpaka sasa

Wachezaji kumi bora wa Afrika mpaka sasa

Hapo kwenye list yupo Nwanko Kanu ambae sifa za Kanu zinashabihiana kwa karibu na za Okocha.why Kanu awemo alafu Okocha abaki?
Kanu ni level ya juu sana mkuu, soma hapa:

Kanu won a UEFA Champions League medal, a UEFA Cup medal, three FA Cup medals and two African Player of the Year awards amongst others. He is one of few players to have won the Premier League, FA Cup, Champions League, UEFA Cup and an Olympic Gold Medal.
 
Kanu ni level ya juu sana mkuu, soma hapa:

Kanu won a UEFA Champions League medal, a UEFA Cup medal, three FA Cup medals and two African Player of the Year awards amongst others. He is one of few players to have won the Premier League, FA Cup, Champions League, UEFA Cup and an Olympic Gold Medal.
Kanu alishinda iyo medali ya uefa akiwa na timu ipi Ajax,Inter au Arsenal?.Kanu kubeba medali nyingi kabebwa na timu kubwa alizochezea ila uwezo wa Okocha na Kanu uwanjani Okocha ulikua juu sana na alikua anavitu vingi kiasi mpaka kuwa key player wa timu.
alafu hapo kuna medal zingine Okocha kabeba kama African player of the year,Olimpic gold medal.
 
Naona mashabiki wengi wanamtaja Jayjay Okocha lakini wakuu namba hazidanganyi. Okocha hajawahi kuchukua tuzo ya mchezaji bora Africa hata mara moja na ameingia nafasi ya tatu mara mbili 2003 na 2004 akiwa nyuma ya Etoo na Drogba.

Je mnataka kusema alionewa? Kwamba watu miaka ile hawakumuona? Okocha hajawahi kubeba kombe lolote kubwa kwenye ligi na timu alizochezea.
 
Kanu alishinda iyo medali ya uefa akiwa na timu ipi Ajax,Inter au Arsenal?.Kanu kubeba medali nyingi kabebwa na timu kubwa alizochezea ila uwezo wa Okocha na Kanu uwanjani Okocha ulikua juu sana na alikua anavitu vingi kiasi mpaka kuwa key player wa timu.
alafu hapo kuna medal zingine Okocha kabeba kama African player of the year,Olimpic gold medal.
Kanu kabeba Uefa champions league akiwa Ajax mwaka 1993/94 tena ile timu kaichezea game 54 na alifunga magoli 25 mpaka inter milan wakamwaga hela kumchukua.

Okocha hajawahi kuchukua uchezaji bora Africa wakati Kanu amechukua mara mbili. Na mbaya zaidi amechukua kipindi Okocha naye akiwa anacheza.
 
Kwa hivo vigezo sawa Okocha hayupo lakini heshima yake kuwa bora haibadiliki...pia Giroud alichukua kombe la dunia na Ufaransa na hajawahi kufunga goli then tuseme ni bora zaidi ya Okocha?
Okocha alikuwa entertainer mzuri sana ila ndio hivyo hakuwa na mafanikio sana kwenye soka.

Mkuu Giroud ameifungia ufaransa magoli 46, anazidiwa na Henry peke yake mwenye magoli 51. Jamaa anamzidi hadi staa wa zamani Michael Platin mwenye magoli 41. Ingawa ni kweli hakufunga world cup 2018.😂
 
Okocha alikuwa entertainer mzuri sana ila ndio hivyo hakuwa na mafanikio sana kwenye soka.

Mkuu Giroud ameifungia ufaransa magoli 46, anazidiwa na Henry peke yake mwenye magoli 51. Jamaa anamzidi hadi staa wa zamani Michael Platin mwenye magoli 41. Ingawa ni kweli hakufunga world cup 2018.😂
ila inakwaje naye Okocha anakosa African best player na ana jina hivo
 
Kanu kabeba Uefa champions league akiwa Ajax mwaka 1993/94 tena ile timu kaichezea game 54 na alifunga magoli 25 mpaka inter milan wakamwaga hela kumchukua.

Okocha hajawahi kuchukua uchezaji bora Africa wakati Kanu amechukua mara mbili. Na mbaya zaidi amechukua kipindi Okocha naye akiwa anacheza.
Kwa ushahidi ulionipa nakubaliana na wewe Kanu yupo juu.minasimamia point moja kubwa,sehemu kuu uliyombeba Kanu ni timu alizocheza Ulaya Ajax,Inter,Arsenal zimempa heshma kubwa sana Kanu.
 
Kwa ushahidi ulionipa nakubaliana na wewe Kanu yupo juu.minasimamia point moja kubwa,sehemu kuu uliyombeba Kanu ni timu alizocheza Ulaya Ajax,Inter,Arsenal zimempa heshma kubwa sana Kanu.
Kweli, timu pia zinachangia.. ila tatizo la Okocha ilikuwa show sana na sio matokeo ndio maana zile timu za makombe hazikutaka kumsajili.

Alikuwa na kipaji kama Ronaldinho lakini akakosa focus ya kuzalisha matokeo kwenye timu.
 
Hakuna mtu aliekataa kuwa Okocha ni mchezaji mzuri na miongoni mwa wachezaji Bora kabisa tuliobarikiwa kuwa nao Africa ila ubora wake ni kwenye simulizi tu na sio takwimu/Mafanikio

Nanukuu maneno ya mleta Uzi ambayo ndio yamebeba uzito wa huu Uzi


"Vigezo vilivyotumika ni mafanikio kwenye tuzo binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea na mafanikio kwenye timu za taifa"

Sasa kama mtu kaweka hadi vigezo vilivyotumika kupanga top 10 yake ila cha ajabu watu mnakuja na ngojera za ohhh sijui kwanini flani hayupo

Ukifanya kazi yako na watu wakaona mchango wako lazima tu watakupa recognition, mbona wachezaji wenye Kariba ya okocha wanapewa Heshima wanayostahili kwakuwa wameshinda tuzo binafsi na makombe katika vilabu vyao

Siku ikitoka list ya wachezaji washereheshaji basi amini nakuambieni fundi Jay Jay Okocha atakuwa namba 1 kwenye hiyo list ata kama atawekwa category moja na Zidane na Gaucho

Kama mnataka aingie kwenye hii list basi muende sawa na vigezo vya mleta Uzi, mje na mafanikio yake binafsi, mafanikio ya club ambazo amechezea na mafanikio ya team ya Taifa
 
Opinion ya ronaldinho haiwezi kuwa kigezo cha ubora wa mchezaji. Tunaangalia mafanikio aliyopata mchezaji pamoja na timu alizochezea.
Kwa hiyo ukienda kuangalia mpira, then siku hiyo usishuhydie magoli yakifungwa, huwa una-enjoy nini pale uwanjani?.
Ukipata majibu ndo utajua mpira sio magoli pekee au ushindi kwa timu husika kuna vingine zaidi ya hivyo.

Leo hii mtu kama Zidane hata Olivier Giroud hampati kwa magoli lakini huwezi sema Guriud ni bora kuliko Zidane.



Nitaendelea kuamini kuwa Okocha na Gaucho ndo wachezaji wangu bora wa muda wote mpaka sasa labda aje mwingine huko mbeleni.


Hao wengine mnaowasifia ni wafungaji bora ila sio wachezaji bora.
 
Kwa hiyo ukienda kuangalia mpira, then siku hiyo usishuhydie magoli yakifungwa, huwa una-enjoy nini pale uwanjani?.
Ukipata majibu ndo utajua mpira sio magoli pekee au ushindi kwa timu husika kuna vingine zaidi ya hivyo.

Leo hii mtu kama Zidane hata Olivier Giroud hampati kwa magoli lakini huwezi sema Guriud ni bora kuliko Zidane.



Nitaendelea kuamini kuwa Okocha na Gaucho ndo wachezaji wangu bora wa muda wote mpaka sasa labda aje mwingine huko mbeleni.


Hao wengine mnaowasifia ni wafungaji bora ila sio wachezaji bora.
Huwezi kumfananisha zidane na giroud kwasababu mafanikio yao yana gap kubwa sana. Hapo ndio kigezo cha mafanikio binafsi kinatajwa. Zidane ana ballon d'or pamoja na entertainment ya kutosha.

Gaucho pia ana ballon d'or pamoja na makombe kibao. Okocha ana nini cha kuonesha ikiwa hata tuzo ya mchezaji bora Africa hajawahi kubeba. Kwanini walipewa wengine kipindi yeye anacheza?
 
Kama kujua mpira sana ni vikombe
Basi giroud ana kombe la dunia mkononi wakati Messi na Ronaldo hawana ..

Hujiulizi tu?
Messi na Ronaldo wana ballon d'or ngapi? Vipi tuzo za uefa? Fifa? Uefa champions league ngapi? Epl, la liga, seria a, ligue 1? Entertainment ikoje? Ronaldo ana Euro na Messi ana Copa America.

Unafahamu maana na individual award? Sasa hapo utamfananisha giroud na hao wataalamu wa soka?
 
Messi na Ronaldo wana ballon d'or ngapi? Vipi tuzo za uefa? Fifa? Uefa champions league ngapi? Epl, la liga, seria a, ligue 1? Entertainment ikoje? Ronaldo ana Euro na Messi ana Copa America.

Unafahamu maana na individual award? Sasa hapo utamfananisha giroud na hao wataalamu wa soka?
Mwanzo ulisema okocha hawezi kuwa moja ya wachezaji bora Africa sawa.

Ukasema hata tuzo alizoshiriki alikosa sababu hana mafanikio wala makombe ukatolea mfano kombe lolote africa sawa.

Kama ndiyo hivyo mbona basi kina giroud hawapewi tuzo kwa medali walizobeba?

Unaweza kuchukua makombe mengi lakini unaishia benchi kwahiyo utapata medal..

Tofautisha uwezo na mafanikio wewe hapa unaongelea mafanikio sisi tunaongelea uwezo ..

Okocha alikuwa na uwezo wa kucheza soka mkubwa sana..
 
Mwanzo ulisema okocha hawezi kuwa moja ya wachezaji bora Africa sawa.

Ukasema hata tuzo alizoshiriki alikosa sababu hana mafanikio wala makombe ukatolea mfano kombe lolote africa sawa.

Kama ndiyo hivyo mbona basi kina giroud hawapewi tuzo kwa medali walizobeba?

Unaweza kuchukua makombe mengi lakini unaishia benchi kwahiyo utapata medal..

Tofautisha uwezo na mafanikio wewe hapa unaongelea mafanikio sisi tunaongelea uwezo ..

Okocha alikuwa na uwezo wa kucheza soka mkubwa sana..
Okocha na Giroud wote wawili hawana mafanikio binafsi.. giroud anayo mafanikio kwenye timu alizochezea wakati okocha hana mafanikio ya aina hiyo.

Tukirudi kwenye entertainment hakuna anayekataa kwamba Okocha alikuwa na kipaji sawa na ronaldinho na zidane lakini hakuweza kukifanya kipaji chake kimpe mafanikio. Hakuwa focused kwenye ushindi wa timu alizochezea.
 
Back
Top Bottom