Wachezaji kumi bora wa Afrika mpaka sasa

Wachezaji kumi bora wa Afrika mpaka sasa

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Naomba nikuletee list ya wachezaji bora kuwahi kutokea katika bara la Afrika.

Nimepitia kumbukumbu kwa wale wa zamani sana na wengi kuanzia mwaka 1996 nimewaona wakicheza.

Vigezo vilivyotumika ni mafanikio kwenye tuzo binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea na mafanikio kwenye timu za taifa.

Hawa hapa kumi bora:

1. George Weah
2. Samuel Etoo
3. Didier Drogba
4. Abedi Pele
5. Yaya Toure
6. Roger Milla
7. Nwanko Kanu
8. Mohammed Salah
9. Michael Essien
10. Sadio Mane

Nimechambua kutoka idadi ya wachezaji 45 ambao vyanzo mbalimbali vimewataja. Angalia waliobaki ambao hawakufikia vigezo kuwepo kumi bora hapa chini:

Okocha, Mahrez, Sammy Kuffor, Geremi, Seydou Keita, Lauren, Aubameyang, Adebayor, Yakubu, Frederic Kanoute, Radebe, Rigobert Song, Mustapha Hadji, Kolo Toure, Mikel Obi, Muntari, El Hadari, Aboutrika, Hossam Hassan, Ezzaki, Ahmed Hassan, Kalusha Bwalya, Diouf, Gyan, Foe, Ikpeba, Amokachi, Mboma, McCarthy, West, Enyeama, Oliseh, Amunike, Majder na N'kono.

Maelezo kutokana na argument juu ya Okocha

Naona mashabiki wengi wanamtaja Jayjay Okocha lakini wakuu namba hazidanganyi. Okocha hajawahi kuchukua tuzo ya mchezaji bora Africa hata mara moja na ameingia nafasi ya tatu mara mbili 2003 na 2004 akiwa nyuma ya Etoo na Drogba.

Je mnataka kusema alionewa? Kwamba watu miaka ile hawakumuona? Okocha hajawahi kubeba kombe lolote kubwa kwenye ligi na timu alizochezea.
 
Ni dharau kukosekana jay jay Okocha, nadhani anadharaulika kwa vile hakubonda timu nzuri nzuri(mafanikio makubwa) ngazi ya klabu.

Okocha ambae Ronaldinho anamkubali mnoo na aliwahi kunukuliwa dinho kuwa Okocha hakupaswa kwenda Uingereza, kilichomponza ni ile hamu yake ya kucheza premier league.

Okocha ambae alitoka kwao Nigeria kwenda Ujerumani kumtembelea rafiki yake, akaenda mazoezini kupasha kisha mwalimu akaomba asajiliwe mara moja.

Okocha ambae pale Uturuki alipewa jina la Mehmet na kuzawadiwa uraia juu kwa soka safi kabisa alilolimwaga pale FENERBAHCE.

Ndio kiungo mnyumbulifu zaidi kwa Afrika hadi kufikia leo hii

Okocha ndio Zinedine Zidane wa Afrika.

Nigeria ilikuwa anaibeba mabegani mwake.
 
Baada ya kutomuona Mbayuwayu basi uzi wako wote ni feki. Okocha ni mmoja tu duniani na mpinzani wake ni Gaucho pekee.

Acheni kupima uchezaji bora kwa kuangalia vikombe au tuzo alizopata mchezaji.

Mpira ni zaidi ya kufunga magoli.

Aliyokuwa anaweza kuyafanya Jay Jay kwenye orodha yako hapo juu hakuna anayeelekea japo robo yake.
 
Ni dharau kukosekana jay jay okocha, nadhani anadharaulika kwa vile hakubonda timu nzuri nzuri(mafanikik makubwa) ngazi ya klabu.
Okocha ambae Ronaldinho anamkubali mnoo, na aliwahi kunukuliwa dinho kuwa okocha hakupaswa kwenda Uingereza, kilichomponza ni ile hamu yake ya kucheza premier league.

Okocha ambae alitoka kwao Nigeria kwenda Ujerumani kumtembelea rafiki yake, akaenda mazoezini kupasha kisha mwalimu akaomba asajiliwe mara moja.
Okocha amba pale uturuki alipewa jina la Mehmet na kuzawadiwa uraia juu kwa soka safi kabisa alilolimwaga pale FENERBAHCE.

Ndio kiungo mnyumbulifu zaidi kwa afrika hadi kufikia leo hii
Okocha ndio Zinedine Zidane wa afrika.

Nigeria ilikuwa anaibeba mabegani mwake.
Ronaldinho kwa kinywa chake alikiri mbinu nyingi za mpira alijifunza kutoka kwa Okocha. Kuna utani mwingine ni mbaya, yaani orodha Yaya Toure, Kanu etc halafu Okocha hayupo?.
 
Naomba nikuletee list ya wachezaji bora kuwahi kutokea katika bara la Afrika.

Nimepitia kumbukumbu kwa wale wa zamani sana na wengi kuanzia mwaka 1996 nimewaona wakicheza.

Vigezo vilivyotumika ni mafanikio kwenye tuzo binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea na mafanikio kwenye timu za taifa.

Hawa hapa kumi bora:

1. George Weah
2. Samuel Etoo
3. Didier Drogba
4. Abedi Pele
5. Yaya Toure
6. Roger Milla
7. Nwanko Kanu
8. Mohammed Salah
9. Michael Essien
10. Sadio Mane

Nimechambua kutoka idadi ya wachezaji 45 ambao vyanzo mbalimbali vimewataja. Angalia waliobaki ambao hawakufikia vigezo kuwepo kumi bora hapa chini:

Okocha, Mahrez, Sammy Kuffor, Geremi, Seydou Keita, Lauren, Aubameyang, Adebayor, Yakubu, Frederic Kanoute, Radebe, Rigobert Song, Mustapha Hadji, Kolo Toure, Mikel Obi, Muntari, El Hadari, Aboutrika, Hossam Hassan, Ezzaki, Ahmed Hassan, Kalusha Bwalya, Diouf, Gyan, Foe, Ikpeba, Amokachi, Mboma, McCarthy, West, Enyeama, Oliseh, Amunike, Majder na N'kono.
Hata Roger Miller- Comeroon humkumbuki?
Mustafa Naggar- Sudan
Rashid Yekin - Nigeria
 
Ni dharau kukosekana jay jay Okocha, nadhani anadharaulika kwa vile hakubonda timu nzuri nzuri(mafanikio makubwa) ngazi ya klabu.

Okocha ambae Ronaldinho anamkubali mnoo na aliwahi kunukuliwa dinho kuwa Okocha hakupaswa kwenda Uingereza, kilichomponza ni ile hamu yake ya kucheza premier league.

Okocha ambae alitoka kwao Nigeria kwenda Ujerumani kumtembelea rafiki yake, akaenda mazoezini kupasha kisha mwalimu akaomba asajiliwe mara moja.

Okocha ambae pale Uturuki alipewa jina la Mehmet na kuzawadiwa uraia juu kwa soka safi kabisa alilolimwaga pale FENERBAHCE.

Ndio kiungo mnyumbulifu zaidi kwa Afrika hadi kufikia leo hii

Okocha ndio Zinedine Zidane wa Afrika.

Nigeria ilikuwa anaibeba mabegani mwake.
Vigezo vilivyotumika havimpatii ushindi Okocha dhidi ya hao waliotajwa. Ubora wa mchezaji unatakiwa kuleta matokeo kwake na kwa timu.
 
Baada ya kutomuona Mbayuwayu basi uzi wako wote ni feki. Okocha ni mmoja tu duniani na mpinzani wake ni Gaucho pekee.

Acheni kupima uchezaji bora kwa kuangalia vikombe au tuzo alizopata mchezaji.

Mpira ni zaidi ya kufunga magoli.

Aliyokuwa anaweza kuyafanya Jay Jay kwenye orodha yako hapo juu hakuna anayeelekea japo robo yake.
Opinion ya ronaldinho haiwezi kuwa kigezo cha ubora wa mchezaji. Tunaangalia mafanikio aliyopata mchezaji pamoja na timu alizochezea.
 
Ronaldinho kwa kinywa chake alikiri mbinu nyingi za mpira alijifunza kutoka kwa Okocha. Kuna utani mwingine ni mbaya, yaani orodha Yaya Toure, Kanu etc halafu Okocha hayupo?.
Taja mafanikio ya Okocha kwenye tuzo na makombe halafu linganisha na hao wengine. Toure amebeba tuzo ya Afrika miaka minne mfululizo ndio umfananishe na Okocha?
 
Ni dharau kukosekana jay jay Okocha, nadhani anadharaulika kwa vile hakubonda timu nzuri nzuri(mafanikio makubwa) ngazi ya klabu.

Okocha ambae Ronaldinho anamkubali mnoo na aliwahi kunukuliwa dinho kuwa Okocha hakupaswa kwenda Uingereza, kilichomponza ni ile hamu yake ya kucheza premier league.

Okocha ambae alitoka kwao Nigeria kwenda Ujerumani kumtembelea rafiki yake, akaenda mazoezini kupasha kisha mwalimu akaomba asajiliwe mara moja.

Okocha ambae pale Uturuki alipewa jina la Mehmet na kuzawadiwa uraia juu kwa soka safi kabisa alilolimwaga pale FENERBAHCE.

Ndio kiungo mnyumbulifu zaidi kwa Afrika hadi kufikia leo hii

Okocha ndio Zinedine Zidane wa Afrika.

Nigeria ilikuwa anaibeba mabegani mwake.
Uchoki kumtazama Jay Jay Okocha. Hakika mpira ulipata mtu wa kuuchezea
 
Taja mafanikio ya Okocha kwenye tuzo na makombe halafu linganisha na hao wengine. Toure amebeba tuzo ya Afrika miaka minne mfululizo ndio umfananishe na Okocha?
Ndugu mwandishi kwahiyo unataka kusema ule msemo wa kufungwa twafungwa lakini chenga twawala umemuondoa okocha kwenye list!

That nigga fotball was in the blood stream he was born with the talent! mpira sio kuleta vikombe tu ni entertainment...kwani zinedine, gaucho walipendwa sababu waliweza kutu entertain..
 
Back
Top Bottom