Wachezaji wanaotemwa Simba wanakimbiliwa vilabu vingine tena vikubwa Africa, huu mchezo wa kuwaroga wachezaji wa Simba lazima ufike mwisho msimu huu

Wachezaji wanaotemwa Simba wanakimbiliwa vilabu vingine tena vikubwa Africa, huu mchezo wa kuwaroga wachezaji wa Simba lazima ufike mwisho msimu huu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Mpira wa miguu sio mchezo wa Karata..majeruhi lazima kwa sababu ya migongano.
Mwenye nguvu ndio atapona.
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Watu wenye jicho la tatu, Umeona na kufikiria mbali sana na watu wa aina yako kamwe hamshindwi.
Haiiingii akilini;
BALEKE TOP SCORER DRC
ONANA TOP SCORER RWANDA
KRAMO TOP SCORER IVORY
SAIDOOO TOP SCORER NBC
FREDY TOP SCORER ZAMBIA
CHAMA MVP
KANOUTE Malien Under 17 star
Inonga Beki ya Kati DRC
Eti itokee woooote hao wawe magalasa! Thubutuuuuuuu.
Wahuni wamepita nao makaburini.
Stukeni kama mdau alivyostuka
 
Hakuna cha Yanga wala nini uchawi wenu subiri uwamalize tu timu la wachawi pindukia mpaka basi zima lonaperekwa kuwangishwa na bado mtakoma
 
Watu wenye jicho la tatu, Umeona na kufikiria mbali sana na watu wa aina yako kamwe hamshindwi.
Haiiingii akilini;
BALEKE TOP SCORER DRC
ONANA TOP SCORER RWANDA
KRAMO TOP SCORER IVORY
SAIDOOO TOP SCORER NBC
FREDY TOP SCORER ZAMBIA
CHAMA MVP
KANOUTE Malien Under 17 star
Inonga Beki ya Kati DRC
Eti itokee woooote hao wawe magalasa! Thubutuuuuuuu.
Wahuni wamepita nao makaburini.
Stukeni kama mdau alivyostuka
Manara aliondoka na password za kamati ya ufundi huko kwa makolo
 
Bora leo mmekiri wenyewe, kuwa madunduka ni vigagula. Hamuishii kwa wachezaji hadi timu pinzani. Sema mmetukuta tuna majini makali 😂😂😂😂😂😂
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Acha upumbavu wewe muafrika. Chelsea ilikuwa na msimu mbovu sana pamoja na idadi kubwa ya majeruhi. Mtu anarudi game mbili tu anaumia tena, akina Mount wakakimbilia United. Nao wasemwe walilogwa na Man U?

Hicho kichwa itakuwa unabebea kamasi tu
 
Babacar Sarr alikuwa man of the match kwenye derby Simba iliyopoteza kwa goli 2. Sina uhakika na busara iliyotumika kumuacha.

Kuhusu Kanoute, niliwahi kusema moja ya jambo bora ambalo Benchikha aliionyesha Simba ni kuwa Kanoute anaweza kubadilishiwa namba akawa na msaada zaidi. Badala yake msimu umeisha Simba imeenda kuachana na Kanoute. Usishangae Kanoute akaenda kuwa mmoja wa washambuliaji bora Africa. Pitia point #4 hapa chini.

4. Hili siliweki kama ni fanikio ila anaweza kuwa ametufumbua macho na likifanyiwa kazi linaweza kuzaa matunda kuliko wengi wanavyotegemea. Wanasema "Changamoto ni mama wa uvumbuzi". Hapa naongelea kitendo cha kumtumia Kanoute kama striker. Huyu jamaa ana urefu sahihi na anajua kupiga mashuti. Simba ikifanyia kazi wazo la kumhamishia pale mbele naye akajizoeza kucheza hapo hasa kukaa sehemu sahihi anaweza kuwa chaguo la 1 au la 2 kwenye nafasi hiyo na hawezi kushindwa kuipa Simba magoli 10-12 kwa msimu.
 
Maana
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Maana halisi ya mbunbumbu.
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Kama kuna shabiki wa Simba anayeumizwa na timu ikiwa out of form, basi wewe ni namba moja.

Wakutafutie kitengo pale Msimbazi
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo

Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Wakulaumiwa ni fitness coach tu, hilo ni swala la kisayansi na siyo ulozi, kama haupo fit lazima majeruh yakundame!
 
Simba sc waalike watumishi wakubwa waisarambatishe na kuharibu huo uchawi wa yanga kwenye club ya Simba sc kwa damu wa Yesu ndio dawa yao.Watumishi wenye uwezo wako wengi Duniani.
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Udalaliii mkuu hata pale yanga kulikuwa na wahunii kama benchkka tukafunga macho wakaondkkaaaaa
Mchezo hauitajii hasira
 
Watu wenye jicho la tatu, Umeona na kufikiria mbali sana na watu wa aina yako kamwe hamshindwi.
Haiiingii akilini;
BALEKE TOP SCORER DRC
ONANA TOP SCORER RWANDA
KRAMO TOP SCORER IVORY
SAIDOOO TOP SCORER NBC
FREDY TOP SCORER ZAMBIA
CHAMA MVP
KANOUTE Malien Under 17 star
Inonga Beki ya Kati DRC
Eti itokee woooote hao wawe magalasa! Thubutuuuuuuu.
Wahuni wamepita nao makaburini.
Stukeni kama mdau alivyostuka
Hivi sijui mnatumia nini kugikiria bro? Mbona vitu vingine ni vya kawaida kwanini kuhusianisha na uchawi? Hujui athari za mazingira katika maendeleo ya kila siku ya mwanadamu?
 
Hivi sijui mnatumia nini kugikiria bro? Mbona vitu vingine ni vya kawaida kwanini kuhusianisha na uchawi? Hujui athari za mazingira katika maendeleo ya kila siku ya mwanadamu?
Nimekupata Mkuu.
Umetanguliza akili za Kisomi na Utaalam zaidi kama Viongozi wasomi wa Simba wanavyofanyakazi. Akili zao za kisomi kama yako wanaMiaka 3 bila Ubingwa.

Mkuu tambua Uimwengu huu, sisi ni Weusi, sisi ni Waafrika, Mwafrika ana mila zake, mwafrika ana Imani yake nk. Usijifanye msomi na mjuvi ukiwa Umezaliwa kwenye hili bara la Giza ukijua hili mwingine anajua lile.
Ahsante sana ndugu msomi
 
Benchika kocha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anafundishi timu JS Kabylie ya Algeria amemjumuisha kikosini kiungo Sadio Kanoute ambaye Simba imeachana naye, iwe kwa kumaliza kandarasi au vip, sasa hivi Benchika amekimbilia kwa Babacar Sarr ambaye Simba imetemana naye kwa kutoridhishwa na uwezo wake.

Babacar ambaye amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara ndani ya kikosi, mchezo ambazo uko sana katika timu yetu kwa mchezaji anakuja vizuri anacheza mechi tatu tayari amekuwa mtu wa kufunga bandeji kila siku, akicheza amecheza kipindi kimoja tu.

Nilimshuhudia Kibu Denis kwenye mchezo wa Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda uwanjani kuangalia Kibu alikuwa akicheza huku akiwa na bandeji mguuni, hatimaye hakumaliza mchezo wenyewe akaingia Somba Somba Onana.

Kanoute naye alikuwa majeraha kila siku.Huko nyuma akina Tadeo Lwanga nao majeraha ya kila siku yalikuwa yanamuandama, leo yuko APR anakiwasha mwanzo mwisho.

Kwanini huu mchezo wa majeraha uwe sana katika timu yetu? Hili jambo lazima liangaliwe, nani anafanya mchezo huu?

Lakini hoja yangu kubwa hawa wachezaji wanaoletwa Simba msimu uliopita lakini wametemwa na sasa wanakimbiliwa na timu kubwa hapa Afrika, nini kimewatokea pale unyamani?

Viongozi wangu wa Simba, jambo hili liangaliwe, hawa akina Funga Funga, Mavambo, Okajepha wanaweza kufanyiwa mchezo mchafu wakaishia kuwa majeruhi na viwango kuporomoka kama alivyofanyiwa Onana.

Kitengo cha uchawi Utopolo kiangaliwe vingine tutakwisha.
Anaye waroga ninani?
 
Back
Top Bottom