Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Inawezekana wanaamini kuwa mpira ni kusukuma tu gozi uwanjani ama makocha wao hawawafundishi kuwa mpira ni sayansi na ni sanaa pia. Labda pia wanadekezwa na udhaifu wa Marefa wetu katika kusimamia sheria za Mpira uwanjani. Zaidi inawezekana wanatiwa ujinga kwa utetezi wa matendo yao ya kihuni unaofanywa na mashabiki wao.
Lakini ukiangalia tabia za wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanganyika, wawe wazawa ama wageni, nidhamu yao uwanjani iko chini ya 40% inayotakiwa kuwepo miongoni mwao.
Wameshakuwa Kaniki, hata ulifue vipi, halibadili rangi.
Lakini ukiangalia tabia za wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanganyika, wawe wazawa ama wageni, nidhamu yao uwanjani iko chini ya 40% inayotakiwa kuwepo miongoni mwao.
Wameshakuwa Kaniki, hata ulifue vipi, halibadili rangi.