Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Unajua kwa uzowefu wa majadiliano ya JF hasa kwa vijana, unapoanza kutaja majina mada inahamishwa maudhui yake na kwenda kwenye ushabiki wa kitimu. Ukimtaja mchezaji wa Azam, watu wa Simba watasema mbona hujamtaja mchezaji fulani wa Yanga, na watu wa Yanga nao watataja mchezaji wa Simba.Kutokana na uwanda mpana wa nidhamu ndio maana nikaomba mifano walau 3 ya utovu wa nidhamu ili tujue tunaongelea katika angle ipi.
Mnatoka kwenye kujadiliana mnaingia kwenye kubishana. Hoja hii si kwa ajili ya kubishana.