Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Mchina ni kama mchaga katumwa pesa au kafie huko huko afrika.
Nasikia wanapewa pesa wakiondoka wakitaka kurudi kwao ni lzm warudishe faida,hivyo usaka pesa usiku na mchana
 
Ndugu zangu watanzania epukeni bidhaa za kutoka China made in China achaneninazo Hawa huwa wanajali maslahi yao tu bidhaa zao fekiiii yan fekiii
 
HAO MACHO MADOGO HAWANA UTU KABISA,NI WABAGUZI NA WANYONYAJI WAKUBWA
 
😂😂😂
Pia kuna wakati wachina wa Dar walikuwa wanatengeneza 'mayai ya kisasa' feki
 
Kweli aisee yaani jamaa wanatoka Asia wanakuja kupiga hela sisi tumelala. Jiulize kwao wanaweza kutengeneza kinywaji fake? Hapa kwetu wameweza tuwape kongole tuu maana hatuna akili hii.
Sisi tunaheshimu Mamlaka zetu lakini wao Wachina wanaziona Dhaifu kwa sababu ya Rushwa ndiyo maana hawaogopi ku take chance!!
 
Naamuru hao wachina wafumuliwe marinda yao mara nne kwa siku kwa miaka 12 mfululizo.
Tumechoka kuona wangese kama hawa wakituharibia biashara.
 
Wazee wa kugandamizia.. Mmarekani anamgwaya kwenye hiyo fani[emoji23]
Ningetamani kabla ya kuhukumiwa walazimishwe hiyo technolojia wawafundishe hata sido isambae kwa wingi ili watu wajiajiri kihalali kwenye kutengeneza diamond na kitoko
 
Naamuru hao wachina wafumuliwe marinda yao mara nne kwa siku kwa miaka 12 mfululizo.
Tumechoka kuona wangese kama hawa wakituharibia biashara.
🤣
Washenzi hawa akifuga nywele ndefu halafu akajipodoa na kuvaa gauni, unaingia kingi
Wazungu wanalizwa sana wakieenda holiday huko Thailand na Philipines 🤣🤣🤣
 
Wachina wameiga biashara za jamaa fulani hivi......yaani fake items.
 
Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.

Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.

Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.

Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Exactly

Nahisi Picha zimechanganywa tu.

Na Hakuna local media yeyote iliyocover hii habari
 
Poleni watumiaji, sijui kwenye juices pia tumepona ama copies kama kawaida😂😂 wachina wana roho mbaya hawa, wanajali maslahi yao tu afya mbele kwa mbele
Hukwepi hawa mafala walikua wanacopy mpaka maji ya kunywa ya jero unakunywa maji machungu mara yana harufu hawa tabu sana
 
Tumia sheria ya kwao. Nyongelea mbali. Hawa, wahindi na wazungu wanatudharau na kutuchukia lakini bado tunawapa nafasi kuja kututukana. Wanyonge hata kwa kipigo haraka. We are tired of these racist leeches from Asia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…