Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

UJUWE kua Mungu hana shida wala hana njaa za kuomba pexa yako ila kama unamuaamini uyo mungu basi inatakiwa utoe sadaka kwa ule anaekufikisha hilo neno la mungu. Hapo ndo utapata ridha ya mungu. Sadaka sio lazma utoe pexa kama ww huna pexa ya kutoa. Toa chochote cha ziada ulichonacho kilishohalalishwa ... Unadhani Wachungaji na ma Sheikh watakula wapi? Kama sio Sadaka yako ww uliekuja kupata neno la BWANA....
Anataka akishahudumiwa kiroho, baada ya hapo mtumishi aende kulima sijui!???
 
jamani wazee wastaafu..ndio dili wanapewa mpaka uzee wa kainisa hapo....si unajua shetani akizeeka anakuwa malaika..wamewafilisi baba na mama yangu...dhuuuuu...kwa kuwa ni masuala ya imani unawaacha wapambane nayo wenyewe na hela ni zao..toa ubarikiwe..weeee...ubarikiwe nini zaidi mstaafu uongezewe pension au mifugo yenyewe unafuga passion usikae bure ila sio ki biashara...yaani akipata ibada mara tatu kwa wiki ni vichekesho tukienda kumtembelea maza siku tatu anashinda huko kanisani na cheo wamempa...full kumchuna
Baba wa rafiki yangu alikua mzito serikalini, baada ya mzee kustaafu alianza u karibu na mchungaji. Kwakua sasa haendi kazini, basi asubuhi mchungaji anampitia wanakwenda kuona wagonjwa, kuandaa mikutano kanisani, mara anapiga simu nyumbani atakula kwa mchungaji.

Walichogundua baadae ni kuwa 10% ya pension ya dingi mchungaji aliiramba. Wakati mzee hajamalizia nyumba na ana magonjwa kibao yanahitaji pesa kutibiwa.
 
Kuna mchungaji uku anakula kondoo wake adi zile kondoo zenye couple...yaani kondoo wapo busy na malisho uku wakitafunwa.

Wachungaji 🙌
 
Hili ni agizo la Mungu toka agano la kale kwamba 10% ya makusanyo yako yote ya kazi ya mikono yako iwe kwa siku, wiki, mwezi ama mwaka ni lazima yaende kwa Mungu wako

Ilikuwa ni LAZIMA kwa wakati huo sababu Makuhani na wazee wa dini walikuwa wanajikimu kupitia fungu hili la kumi - sadaka na matoleo mengine hayo yalikwenda kwenye shughuli za kutangaza neno la Mungu

Sasa hadi leo kwa mtumishi kupewa fungu hili ni HAKI yake ila sasa linazidi na kuwa kubwa mno hadi kufikia mtumishi anaishi maisha ya juu - inafikia hatua mtumiliki hadi Private Jet - Ndege binafsi, majuumba la kifahari huko waumini wake wakitembelea ndala zilizotoboka

Ki-imani hasa ya kikristo huwezi kufanya adjustment ya hii sheria ya fungu la kumi ila ni busara tu kwa watumishi kulitumia fungu hili vizuri vinginevyo wakristo wengi wataacha kutoa - hakuna haja ya kutoa fungu la kumi afu mtumishi anamnunulia mkewe Birthday gift ya gari la dola Mil 250

Hili halikuwa lengo la Mwenyezi Mungu kutuwekea hii sheria sisi wakristo
 
Mchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.

Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping malls tusingebaki na hela ya kuwapa nyinyi. Vitu nya magengeni ni fresh zaidi kuliko vya supermarket.

Muwe mnafikiria kabla ya kutoa kakuli zenu. Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.
Hakuna Mchungaji anayekulazimisha kutoma sadaka/zaka, kama hujisikii kutoa acha, waache wanaowiwa kuchanga wamtolee Bwana.

Na kimsingi naomba ikumbukwe kwamba maswala haya ya sadaka/zaka/dhabihu yapo Kibiblia (soma Malaki 3:8-10, Matendo ya Mitume 10:1-4, Kumb. la Torati 14:22-24). Wachungaji ni mawakala tu wa Mungu, ingawa wachungaji wengine ni matapeli kama inavyofundishwa kwenye Mathayo 24:23-25 au Luka 17:22-24.

All in all, nawasihi muweke akiba ya maneno hasa kwenye mambo haya ya kiimani ili mjiepushe na tufani inayoweza kuwakumba ninyi wenyewe au vizazi vyenu; kwasababu Mungu hadhihakiwi hata kidogo.
 
Kwa Afrika dini ni inazidi kufanya watu washindwe kutumia akili zao vizuri. Mambo kibao tu ukianza kuyaweka kwenye mizani yapo astray. Dini ni upuuzi kama maupuuzi mengi tunayoyaona mitaani.
The peace that we enjoy around the world [emoji289] is a direct result of positive religious activities. Even most of the great and accomplished scientists, educators, innovators, researchers, doctors, engineers, technology experts have had affiliations to some religious bodies.
 
Silijui kanisa kutoka nilipopata kipa imara, lakini Mungu kaniinua sana,ili kufanikiwa si lazima utoe sadaka kwa matapeli au makanisani,sadaka haimuinui mtu,sadaka kazi yake ni kusaidia kutoa huduma za kanisa kama vile kulipa mishahara,kulipia anakara mbalimbali lakini hawa akina Fekero huzifanya sadaka za wajinga ndio mtaji wao wa maisha ya kifahari na wapambe wao, na si akina Mwingira tu bali hawa matapeli wamejaa duniani kote,wanatumia ujinga au shida za waumini kujitajirisha,dini ishakuwa biashara,wakati mwingine naona wenzetu Waislamu angalau wanamuogopa Mungu kuliko sisi Wakristo ambao kila kukichwa huwadanganya binadamu kwa kumtumia Mungu.Ni sisi wakristu ambao sasa tumeanza hata kuhalalisha ndo za jinsia moja,si ajabu Waislamu wanatuita makafiri kutokana na tabia zetu za hovyo.
Usithubutu kumtupa jongoo na mti wake, walisema wahenga. Usiache mbachao kwa msala upitao. There are many, many, many, good churches & wonderful Christians kila mahali. Find one and be part of it. Hutokaa ujute maishani mwako. Utoaji wa sadaka unapima level ya upendo wako kwa Mungu, na kukusaidia kudhibiti tamaa, uchoyo, ubinafsi na ubahili. Hata kama wahitaji wasingekuwepo, bado sadaka kutoa ni must kwa muumini. Uchoyo na ubahili wa wengi ndio huwafanya kubuni sababu lukuki za kuhalalisha wasitoe sadaka kwa Mola wao.
 
Mkuu akili za mwafrika zipo programmed na mzungu ni mpaka pale tutapoweza kuflash hili tatizo, China washang'amua hili wapo bize kutengeneza kizazi ambacho hakishabiani mawazo na Mzungu.
All humans -- Mzungu, Mwafrika, Mhindi, Mwarabu, Mwamerika etc -- their problem is essentially the same. Hakuna nafuu ya mwingine. Wewe ushakuwa brainwashed mpaka unadhani Mzungu is the best. Au kwa vile anakuletea tumisaada!???
 
The peace that we enjoy around the world [emoji289] is a direct result of positive religious activities. Even most of the great and accomplished scientists, educators, innovators, researchers, doctors, engineers, technology experts have had affiliations to some religious bodies.

..the conflicts that we face around the world is a direct result of negative religious activities. Some of the great controversies that happened back in the days are due to religions that actually don't help us. The African brains have been programmed to accept and abide to everything a white man does, says or throws into our continent.

It's time to wake up and follow our own ways of life, easterners are doing that now, so we need to do the same.
 
Baba wa rafiki yangu alikua mzito serikalini, baada ya mzee kustaafu alianza u karibu na mchungaji. Kwakua sasa haendi kazini, basi asubuhi mchungaji anampitia wanakwenda kuona wagonjwa, kuandaa mikutano kanisani, mara anapiga simu nyumbani atakula kwa mchungaji.

Walichogundua baadae ni kuwa 10% ya pension ya dingi mchungaji aliiramba. Wakati mzee hajamalizia nyumba na ana magonjwa kibao yanahitaji pesa kutibiwa.
Sasa mzee aliona vyake ale na mchungaji, kuna tabu hapo!??? Nilidhani mchungaji alimtapeli mstaafu, hapo ingekuwa noma chacha.
 
Hili ni agizo la Mungu toka agano la kale kwamba 10% ya makusanyo yako yote ama kazi ya mikono yako ya siku, wiki, mwezi ama mwaka ni lazima yaende kwa Mungu wako

Ilikuwa ni LAZIMA kwa wakati huo sababu Makuhani na wazee wa dini walikuwa wanajikimu kupitia fungu hili la kumi - sadaka na matoleo mengine hayo yalikwenda kwenye shughuli za kutangaza neno la Mungu

Sasa hadi leo kwa mtumishi kupewa fungu hili ni haki yake ila sasa linazidi na kuwa kubwa mno hadi kufikia mtumishi anaishi maisha ya juu mno - inafikia hatua mtumiliki hadi Private Jet - Ndege binafsi huko waumini wake wakitembelea ndala zilizotoboka

Ki-imani hasa ya kikristo huwezi kufanya adjustment ya hii sheria ya fungu la kumi ila ni busara tu kwa watumishi kulitumia fungu hili vizuri vinginevyo wakristo wengi wataacha kutoa - hakuna haya ya kutoa fungu la kumi afu mtumishi anamnunulia mkewe HAPPY Birthday gift ya gari la dola Mil 250

Hili halikuwa lengo la Mwenyezi Mungu kutuwekea hii sheria sisi wakristo
I agree 100%
 
Hakuna Mchungaji anayekulazimisha kutoma sadaka/zaka, kama hujisikii kutoa acha, waache wanaowiwa kuchanga wamtolee Bwana.

Na kimsingi naomba ikumbukwe kwamba maswala haya ya sadaka/zaka/dhabihu yapo Kibiblia (soma Malaki 3:8-10, Matendo ya Mitume 10:1-4, Kumb. la Torati 14:22-24). Wachungaji ni mawakala tu wa Mungu, ingawa wachungaji wengine ni matapeli kama inavyofundishwa kwenye Mathayo 24:23-25 au Luka 17:22-24.

All in all, nawasihi muweke akiba ya maneno hasa kwenye mambo haya ya kiimani ili mjiepushe na tufani inayoweza kuwakumba ninyi wenyewe au vizazi vyenu; kwasababu Mungu hadhihakiwi hata kidogo.
Perfect!!! Wakati wa matetemeko na magonjwa ndipo haohao watumishi huonekana wa maaaaanaa.
 
..the conflicts that we face around the world is a direct result of negative religious activities. Some of the great controversies that happened back in the days are due to religions that actually don't help us. The African brains have been programmed to accept and abide to everything a white man does, says or throws into our continent.

It's time to wake up and follow our own ways of life, easterners are doing that now, so we need to do the same.
I pity you for trying to cluelessly change inclinations from ^Westerners^ to ^Easterners.^ Religious faith kama ingefanikiwa kuwa suspended ama obliterated ulimwenguni just for a day, believe it or not, the next morning the whole world [emoji289] would literally wake up with only soulless bodies of dead people scattered all over.
 
Kaka upo sahihi. Ila marekebisho kidogo sio Mwamposa anayeuza maji Bei kubwa n Seguye
Hao wachungaji wengi ni wapigaji, ebu chukulia watu kama Kina Gwajima wanacheza hadi porno, angalia mwingira anazaa hadi na wake za watu, angalia Lusekelo anapiga hadi NYAGI na kutukana majirani, Mwamposa anawauzia watu maji kwa bei ya juu yaani ulanguzi na wizi, sasa wachungaji matapeli kama hao ndio wataongea mambo ya maana?
 
Hili ni agizo la Mungu toka agano la kale kwamba 10% ya makusanyo yako yote ama kazi ya mikono yako ya siku, wiki, mwezi ama mwaka ni lazima yaende kwa Mungu wako

Ilikuwa ni LAZIMA kwa wakati huo sababu Makuhani na wazee wa dini walikuwa wanajikimu kupitia fungu hili la kumi - sadaka na matoleo mengine hayo yalikwenda kwenye shughuli za kutangaza neno la Mungu

Sasa hadi leo kwa mtumishi kupewa fungu hili ni haki yake ila sasa linazidi na kuwa kubwa mno hadi kufikia mtumishi anaishi maisha ya juu mno - inafikia hatua mtumiliki hadi Private Jet - Ndege binafsi huko waumini wake wakitembelea ndala zilizotoboka

Ki-imani hasa ya kikristo huwezi kufanya adjustment ya hii sheria ya fungu la kumi ila ni busara tu kwa watumishi kulitumia fungu hili vizuri vinginevyo wakristo wengi wataacha kutoa - hakuna haya ya kutoa fungu la kumi afu mtumishi anamnunulia mkewe HAPPY Birthday gift ya gari la dola Mil 250

Hili halikuwa lengo la Mwenyezi Mungu kutuwekea hii sheria sisi wakristo
wakati huo nyumba ya lawi ndio ilikuwa makufani na walfanya kazi madhabahuni watu waliambiwa watoe sadaka kuwakimu walikuwa hawana mifugo wal mashamba ili wasishawishike na kutenda dhambi wao ndio walikuwa wanapokea sadaka na kaombi na kuyaingiza mahali pnapoitwa patakatifu pa patakatifu ..story ya fungu la kumi iliazia mahali nabii sijui ni nan ajenge hekalu watu wakatangaziwa na nabii ukitoa fungu lako la kumi kwa ajili ya hekalu utazidishiwa watu wakawa wazito baadae ikawa mashindano ya kutoa wabarikiwe na walibarikiwa sana lilipo kamilika akawakataza kutoa ..hekalu limekamilika..watu akasema kuliko tukose baraka we baki nazo..kwa hio hio sheria ya kutoa ni utashi ako wala mungu hayupo na wewe hekalu lishajengwa na limekamilika hawa wanaohimiza ni wezi na hutabarikiwa wala hawana garantii ya kubarikiwa
 
I pity you for trying to cluelessly change inclinations from ^Westerners^ to ^Easterners.^ Religious faith kama ingefanikiwa kuwa suspended ama obliterated ulimwenguni just for a day, believe it or not, the next morning the whole world [emoji289] would literally wake up with only souless bodies of dead people scattered all over.

Sawa mkuu, tupeleke zaka, sadaka na kila kitu madhabahuni ili tubarikiwe. Tunaanza na mwenye 100,000. Wenye jero pigeni makofi!
 
Back
Top Bottom