Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
- Thread starter
-
- #81
Hii naikubali. Na kesho utawakuta kkkt, Peramiho, Vatikan n.k. Hii ndio siasa, Sikiliza hoja za wananchi wako wote. Wafikie, waelewe, wakubali...... Utatatuaje matatizo yao kesho kama kabla ya uchaguzi hukuwafikia na kuwasikiliza.Hapa jee?
Mmmmmm! Napenda iwe hivyo, lakini kwa hali ilvyo sasa siamini hilo. Nanyi nyote mnalifahamu hilo, tusidanganye wananchi. Na hayo makundi mliyoyatupa, yatawapigia kwa kweli? ANZENI KUYANYOOSHEA MIKONO HAYO MAKUNDI.Mkuu, kwa hali kilivyo kwa sasa Chadema ni chama kinacho kubalika haswa. Kama uchaguzi ukiwa huru na haki kinashinda kabla ya saa 6.00 mchana.
La saba wako mtaaniKwa mwaka huu 2024 imekuwa vigumu kujua kama CHADEMA ni chama cha siasa chenye nia ya kuhudumia Watanzania wote au ni Taasisi ndani ya taasisi ya dini katika madhehebu tofauti.
Miaka ya nyuma kulikuwa na minong'ono tu kuwa hiki ni chama kinadhaminiwa na Mlengo wa Kikristo.
Maneno hayo nilikuwa nayapinga mara kwa mara lakini leo hii, nashawishika kabisa kuwa maneno hayo yalikuwa na ukweli. Kwasababu kila tamko la CHADEMA linabaraka 100% ya maaskaofu na wachungaji na kila tamko au barua za kichungaji zote zina baraka ya CHADEMA kwa asilimia 100, Kulikoni?
ChADEMA ijikague, vinginevyo itapata kundi moja tu na kamwe huwezi kushika nchi kwa kundi moja tu. Bado mna nafasi.
Pia soma: Siasa na dini
CCM imejipambanua kuwa ni ya wote- wislam, wakristo, imani za kijadi (machifu), wasio na dini N.K Kwa vile ukichaguliwa huwezi na wala haitakiwi ubague. Wewe na Rais wa wote, mtoa huduma kwa wote na msikivu kwa wote.Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo hivyo ndani CCm kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo si vyema kuanza kuunganisha ukristo na chadema
Ma
Mmmmm! Haya, sisi yetu macho.CHADEMA ni Chama cha Wananchi wote!
Nilitafsiri kuwa Samia anawasikiliza wapiga kura wake wote. Na ninapenda na CHADEMA waige mfano huu. Wawafikie wapiga kura wote, na ndio nia ya kufungua uzi huu. Wasiende kwa kundi moja tu, wawafikie wote.Samia alipompelekea Kadinali Rugambwa joho la kuendeshea ibada wakati yeye ni muislamu ulitafsiri vipi?
Siungi mkono ugaidi wa aina yeyote ile, bali wananchi wana haki 100% kukinyooshea mkono chama chochote kile kinachobagua makundi fulani ya jamii.
Kama walivyochukua akina Gwajima.Akina askofu Bagonza, Shayo, Mwamakula, etc. Tusishangae hawa makamanda wakichukua fomu kuwania ubunge kwa ticket ya chadema kwenye majimbo fulani.
Yes, na wao waamue kuingia ulingoniKama walivyochukua akina Gwajima.
Huyo jamaa kila siku anafikiria kuwa kuna siku CHADEMA itakufa kumbe ni ndoto za Abnuas.Mkuu, huu utabiri wako ni wa kitambo sana; ni kama fisi anapo mfuata mtu kwa nyuma akijiaminisha kwa asilimia 100 kwamba ule mkono utadondoka na yeye kujipatia mlo wa siku.
Huyo jamaa kila siku anafikiria kuwa kuna siku CHADEMA itakufa kumbe ni ndoto za Abnuas.Mkuu, huu utabiri wako ni wa kitambo sana; ni kama fisi anapo mfuata mtu kwa nyuma akijiaminisha kwa asilimia 100 kwamba ule mkono utadondoka na yeye kujipatia mlo wa siku.
Hatutaki COVID 19.Mmmmmm! Napenda iwe hivyo, lakini kwa hali ilvyo sasa siamini hilo. Nanyi nyote mnalifahamu hilo, tusidanganye wananchi. Na hayo makundi mliyoyatupa, yatawapigia kwa kweli? ANZENI KUYANYOOSHEA MIKONO HAYO MAKUNDI.
na Mafisadi ukiona mtu anajiunga huko jua huyo ni jambazi.CCM imejipambanua kuwa ni ya wote- wislam, wakristo, imani za kijadi (machifu), wasio na dini N.K Kwa vile ukichaguliwa huwezi na wala haitakiwi ubague. Wewe na Rais wa wote, mtoa huduma kwa wote na msikivu kwa wote.
Ukijitenga kabla ya kuchaguliwa ni vigumu kuamini kuwa utajiunga baada ya kuchaguliwa. Jiunge leo, vinginevyo bando lako litaisha mapema.
Kwa ivo wale kina Sheikh Katimba na Sheikh Ponda wanaoisapoti CHADEMA huwaoni?Nilitafsiri kuwa Samia anawasikiliza wapiga kura wake wote. Na ninapenda na CHADEMA waige mfano huu. Wawafikie wapiga kura wote, na ndio nia ya kufungua uzi huu. Wasiende kwa kundi moja tu, wawafikie wote.
Kwa mwaka huu 2024 imekuwa vigumu kujua kama CHADEMA ni chama cha siasa chenye nia ya kuhudumia Watanzania wote au ni Taasisi ndani ya taasisi ya dini katika madhehebu tofauti.
Miaka ya nyuma kulikuwa na minong'ono tu kuwa hiki ni chama kinadhaminiwa na Mlengo wa Kikristo.
Maneno hayo nilikuwa nayapinga mara kwa mara lakini leo hii, nashawishika kabisa kuwa maneno hayo yalikuwa na ukweli. Kwasababu kila tamko la CHADEMA linabaraka 100% ya maaskaofu na wachungaji na kila tamko au barua za kichungaji zote zina baraka ya CHADEMA kwa asilimia 100, Kulikoni?
ChADEMA ijikague, vinginevyo itapata kundi moja tu na kamwe huwezi kushika nchi kwa kundi moja tu. Bado mna nafasi.
Pia soma: Siasa na dini
Ni haki Yao sawa na kuandamana kwa AmaniAkina askofu Bagonza, Shayo, Mwamakula, etc. Tusishangae hawa makamanda wakichukua fomu kuwania ubunge kwa ticket ya chadema kwenye majimbo fulani.
Hata Wewe ukikizi vigezo!Kwa hiyo Rais atakuwa ni Mzee Mbowe?
Mbowe hakujiendeleza kilemu kwa hiyo hana sifa ya kuongoza taifa kama letu ,aendelee kubaki na SACCOS tuHata Wewe ukikizi vigezo!
Mzee wetu Ally kibao alikuwa mkristo ?la hasha alikuwa Muislamu.Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo hivyo ndani CCm kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo si vyema kuanza kuunganisha ukristo na chadema
Ma
MUDA utasema ukufika,tuache ubashiri,Mungu Mwema!Mbowe hakujiendeleza kilemu kwa hiyo hana sifa ya kuongoza taifa kama letu ,aendelee kubaki na SACCOS tu
Nani ana Elimu?Mbowe hakujiendeleza kilemu kwa hiyo hana sifa ya kuongoza taifa kama letu ,aendelee kubaki na SACCOS tu
Tulieni nyie wajingaUkilalamika wewe bawacha si inatosha!?