Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Mwambieeeee....Trust me, wapo.
Hata mke wangu yupo anaangalia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieeeee....Trust me, wapo.
Bwaha Bwaha Bwaha Bwaha
ukategemea sapoti kuubwaaa ndokwanzaaa
things went contrary to your but....
khakhaakhaa Nacheka kwa dharaaaaaaaaaaaaaaaaauuuu
Mdau wewe kuwa na subra, just matter of time watabwagana na utachukua Goma hiloI wish i could be your mgeni one day...
nimetamani nikuone tu roho yangu itulie maana hiyo avatar yako imenikumbusha kipindi kile Moshi. Ulinipiga bonge la msunyo siku moja natamani nikugonge na haka ka ICT kangu.
Roho inaniuma sijui kwa nini... nahisi niende kwa mganga mshana jr
jirani Saint Ivuga unaona ninachofanyiwa, nadharaulika kama kohozi la tb
wewe Smart911 umempa nini dada yetu hakuwaga hivi nilimlea akiwa shule, hukumkuta na kovu wala alama. Leo ata shukrani huna, nimemlinda mpaka ukampata sasa hutambui uwepo wangu
Aisee..STUNTER Joseverest nao banned! Nini kilitokea humu?
Mdau wewe kuwa na subra, just matter of time watabwagana na utachukua Goma hilo
Mi nafafuta mke awe teacher kama mimi!
Aisee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Namjua. Nishawahi kumfanyia interview kwenye NGOs moja hivi.hahaha hahaha hahaha
haki ya mama huyu mtoto lile jicho hatareee unaweza ukahonga urithi wote
Ngoja nisubiri tuu
Hata sijui kwa kosa gani,kwani ban ikitolewa inakua ni siku moja tu??au inachukua mda gani
Hhmm!!huyo alopigwa ban ya maisha sababu ilikua ipi??jana weng tulipewa ban bila ya kuzijua sababu,maybe kwasababu ya kuleta stry ktk nyuzi za watu si unajua[emoji28][emoji23].io ban ya siku moja tu nmeona siku nzima imekua chunguSiku hizi naona wamefupisha zamani ilikuwa wiki hata wiki mbili na zaidi na kuna mtu alishapigwa ban ya maisha hadi watu wakamuombea samahani ndiyo akarudishwa pia walikuwa wanakwambia sababu ya kupigwa ban. Sasa kama mtu hujui umepigwa ban kwa sababu (z)ipi si unaweza kulirudia kosa lile lile tena?
Hhmm!!huyo alopigwa ban ya maisha sababu ilikua ipi??jana weng tulipewa ban bila ya kuzijua sababu,maybe kwasababu ya kuleta stry ktk nyuzi za watu si unajua[emoji28][emoji23].io ban ya siku moja tu nmeona siku nzima imekua chungu
Watafahamisha wangap kwa ban zile,ban zimemiminika km maji vile[emoji28][emoji1]Sijui hata alifanya nini Arabian Queen. Okay labda ni kosa hilo lakini ni vizuri kufahamishwa badala ya kubaki unadhani labda ni hili labda ni lile.
Tuandamaneni kwa yule mod alietubanika[emoji12]Watafahamisha wangap kwa ban zile,ban zimemiminika km maji vile[emoji28][emoji1]
Hahaha hata ww kumbe[emoji23]yule mod atakua anafanya interview jinsi ya kutoa ban,alipoweza ndio akatutoa kifungoni si bureTuandamaneni kwa yule mod alietubanika[emoji12]
Watafahamisha wangap kwa ban zile,ban zimemiminika km maji vile[emoji28][emoji1]
Kama sio mgeni basi shemeji yetu alimkasirisha akamalizia hasira kwetu. Sio kwa ban zile aise[emoji23]Hahaha hata ww kumbe[emoji23]yule mod atakua anafanya interview jinsi ya kutoa ban,alipoweza ndio akatutoa kifungoni si bure