Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa ajui ku french kiss nn...ndiyo ila tulibwagana for just one month only.ha haaa
Hujaw muwazi tu mbona tupoooooomimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
[emoji109] [emoji16]sasa nikitoa nitalala na wangapi
Kunakatisha tamaa kuna watu wanakera sana kwenye hili. Watu wana mzaha sana kuna wanaotafuta wakweli na waongo.Wakuu kumekuwa na ongezeko kubwa la wadada wanatafuta wachumba humu JF, kama umewai kupata mwenza kupitia JF ..comment neno "ndio"
Na tunayafahamu kweliii hayo mambo si wahukuHa ha a a tatizo lako wakoromije huwataki
Kwahiyo we ni bikra au hutoi mpaka ndoa ukimaanisha ninisasa nikitoa nitalala na wangapi
Mbona nimekutafuta sana na Mimi hadi nahisi kuumwa.mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Wote kwani inazeeka iyo kitu...sasa nikitoa nitalala na wangapi
Hahahaaaa,!!ndiyo mimi au mwingine!!!?ndiyo ila tulibwagana for just one month only.ha haaa
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Humu mama labda kama unataka kulia machozi ya damu.Mi ata sijapata
Nipo pm meadi mie sjapata. yani wanaume wa humu shida tupu
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Usikate tamaamimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu