Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 191
- 385
We jamaa kama ndio PC yko kwenye avatar utakuwa bandidu sanaHivi akikuambia nilipie faini ya trafiki utalipa kweli?
Au aseme yupo gereji kapungukiwa elfu 50 ... inahitajika..utapokea simu au ndo utam block moja Kwa moja?
Uliakua unamtaka...hayo maringo..ndo kukataliwa kwenyewe hukoSijakataliwa mzee nimeacha malingo mengi
Yeye kudrive tu anachukia ndo amwambie hayo mambo ya fine si atamuua dada wa watu.Hivi akikuambia nilipie faini ya trafiki utalipa kweli?
Au aseme yupo gereji kapungukiwa elfu 50 ... inahitajika..utapokea simu au ndo utam block moja Kwa moja?
Kajifunze kwanza kuandika, mwandiko unakera mno.Hahaha kwani hao mabahamed na housegrl wana shida gani mbona wengine k zao mnato tena safi kabisa utasema kama ajawai tumiks
KabisaaaWe ulitaka ukigusa tu imo? Mtoto wa kike maringo kawaida.
Kabisa mkuuachana nae ukiendekeza zinakua shobo
Ukijua wewe inatoshaKajifunze kwanza kuandika, mwandiko unakera mno.
Hapana bhnaUliakua unamtaka...hayo maringo..ndo kukataliwa kwenyewe huko
Kuna utofuat mkubwa wa shobo na kutafta fursaKabisa mkuu
Mko poa
Nisiwachoshe Ipo hivi juzi hapa jumuiya ilikuwa kwangu tulisali vizuri tu sasa baada ya kumaliza ambaye anachukua msalaba ni mtu wa iabu huyu dada tumuite Bupe.
Aliniomba nimpelekee msalaba jioni kwao ana kaa na wazazi wake kwao wako na mapesa nje yapo magar 5 kuna nissani duals 2, kuna forester, kuna noah, ili moja silijui jina.
Nilimuomba namba maana wao ukienda piga hodi pale hawafungui wana kuzoom tu kwenye camera wana gorofa, akanipa mm nikampotezea nikasema siendi kwao mimi wiki nzima napita kwao kimya .
Jumamos ikafika nikadamka mapema sana nikawahi pale kwao mimi ndio nilikuwa wa kwaza nikafika pale nika pleas oh namba kumbe sikusev akawa analalamika oh just help kutafakari neno pleas na kusoma neno mara ya pili, nikamtoa hofu usijali gafla akaja mdada mwingine akaaa mbele yeyu akasema nitasoma somo mara ya pili ikawa imeisha.
Nikiwa pale tunasali nikawa najifanya nipo bise tumemaliza kusali ndio anza niambia una jua baba kaondoka na mam wapo moshi nikawa na msikiliza mwisho nikamuomba andika namb hapa nitakupigia tuongee vzr bado na usingizi .
Siku iliisha sikumcheki nikaja kumcheki akajibu vyema tu ila maringo mengi sana mpaka moto unakata ukimpigia simu apokei anapokea kwakuchelewa kisingizio nadrive sasa nimeamua kumpotezea kabisa naona ananiletea ujinga ni mkaguzi masaki tupo jiran tu na napofanya mimi kazi ila mwanamke wa maringo mengi hapana
Kumtafuta tafuta mtu kila saa izo ni shobo kabisaKuna utofuat mkubwa wa shobo na kutafta fursa
Upo sahihi yani kujipendekeza.Kumtafuta tafuta mtu kila saa izo ni shobo kabisa
Huyo jirani Yako mwanaume au mwanamke?Mfano jirani yangu na JF yumo.. yaani ata kusalimia hasalimii anatupita apa kijiweni kisa si boda ata kushusha kioo kusema mambo zenu hataki..
Zikufikie popote ulipo L.
🤣🤣🤣 KEHuyo jirani Yako mwanaume au mwanamke?
Mademu ndio zao hizo, akishakuona Low profile hafungui kioo labda awe na shida na wewe eg anataka akutume kwake au sehemu nyingine.🤣🤣🤣 KE
Wanaonaga wanashusha brand sijui. Sema ndio ivyo huwezi lazimisha salam ila ikitokea ishu ndio utaona ushasalimiwa kwa mbwembwe.Mademu ndio zao hizo, akishakuona Low profile hafungui kioo labda awe na shida na wewe eg anataka akutume kwake au sehemu nyingine.
Mimi Nina jirani yangu hapa demu anaendesha Land Rover discovery 3 huwa Sina shobo nae
Ni kawaida, anakuona wew huna pesaWanaonaga wanashusha brand sijui. Sema ndio ivyo huwezi lazimisha salam ila ikitokea ishu ndio utaona ushasalimiwa kwa mbwembwe.