Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Si bora kubishana na mpira, sasa mwanaume anasimuliana tamthilia ya huba kweli??? Na anasubiria next episode huyu si ako na umamaKutwa kubishana mamipira tu hawana topiki nyingine kwenye stori zao.
Dah!!!Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
we kama mimi anMwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
Hii reply yako nime-ipenda kinyamaaa aisee ✌🏻Mwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
Kula Yao iko kwenye kubet, wanabet haoooo eeeeeDada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.
Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.
Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?
Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.
Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.
Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.
N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Kuna jukwaa la wazee wa ODD nakuonaga kule nikajua utamzodoa mtoa mada [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
Kuna mangi moja shabiki ya mpira ilipiga jackpot ya 1.2b, endelea kukalili maishapande mbili mnakariri
Umesema mtoa mada yupo Kama ?Mwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
[emoji23][emoji23] uchokozi huuUmesema mtoa mada yupo Kama ?
Napalia makaa dada angu😁[emoji23][emoji23] uchokozi huu
Exactly,michezo ipo mingi...muhimu tusipangiane cha kufuatiliaAcha matusi binti michezo mbona IPO mingi wengine wanashabikia basketball ice hokey,cricket na mingine.