Wadada mnaotaka kuolewa. Chondechonde msiolewe na wanaume wanaoshabikia mpira. 98% hufa masikini kabisa

Wadada mnaotaka kuolewa. Chondechonde msiolewe na wanaume wanaoshabikia mpira. 98% hufa masikini kabisa

Dada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.

Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.

Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?

Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.

Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.

Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.

N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Hasa mashabiki wa simba na yanga..yani wengiwao ni zero brain.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wale wengine wa5 walikufa juzi hapo kwa ulevi na ushabiki.
Walienda Arusha eti kushangilia mechi km vile kule hamna mashabiki.
mda wa kurudi kambang chali wa 5 on the spot
 
Kuna mashabiki maandazi yupo radhi hata aache kufanya kazi aende akaangalie mpira kwenye vibanda umiza.
Baadae akikosa pesa anaanza kulialia na mkewe akitafunwa ndio kabisa povu na kamasi kama yote.
Shabikia mpira kwa kiasi sio kujifanya kama vile ww ndio mmiliki wa timu.
Hahahaaa, gongelea msumari uo inch5
 
Ushabiki wa kiasi ni mzuri unakukutanisha na watu wengi...nenda sehemu ya maana ya ulabu mjini, then subiri hadi saa nne usiku Leo hii uburudike na boli kutoka Uwanja wa Wanda metropolitano kati ya Real Madrid vs Atletico Madrid.
 
Dada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.

Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.

Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?

Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.

Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.

Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.

N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Ila wote tunakufa na kuacha kila kitu, kama mpira unakupa faraja unaongeza siku za kuishi wewe ni wa kupuuzwa
 
Imagine sisi tunashabikia Arsenal ni wavumilivu hata kweny ndoa tuna subira .


Mtoa mada wacha maneno ya kihuni
 
Mnataka kuolewa na wapenda kahawa ambao kila nchi wanaijua?
 
Back
Top Bottom