Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
😂😂 Shaur zakoNapalia makaa dada angu😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Shaur zakoNapalia makaa dada angu😁
Nataka kuskia mitusi roho iridhike😂😂 Shaur zako
Haya endelea kupalia madude moto ukuwakie 😃Nataka kuskia mitusi roho iridhike
Mbombongafu mbombo imalikhe kalumbuHaya endelea kupalia madude moto ukuwakie 😃
Hasa mashabiki wa simba na yanga..yani wengiwao ni zero brain.Dada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.
Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.
Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?
Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.
Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.
Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.
N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Hahahaaa, gongelea msumari uo inch5Kuna mashabiki maandazi yupo radhi hata aache kufanya kazi aende akaangalie mpira kwenye vibanda umiza.
Baadae akikosa pesa anaanza kulialia na mkewe akitafunwa ndio kabisa povu na kamasi kama yote.
Shabikia mpira kwa kiasi sio kujifanya kama vile ww ndio mmiliki wa timu.
Kwahiyo wewe ni mdada mwenzake! 😁😁😁we kama mimi an
Duuh yamekuwa haya.Wanaume wenzangu msioe mwanamke anae fuatilia tamthilia , vikoba na kusuka nywele za bandia huyo haja beba fikra za kimaendeleo hata nukta .
Ila wote tunakufa na kuacha kila kitu, kama mpira unakupa faraja unaongeza siku za kuishi wewe ni wa kupuuzwaDada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.
Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.
Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?
Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.
Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.
Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.
N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Na kuna mangi mmoja alimegewa mkewe baada ya timu yake kufungwa…Kuna mangi moja shabiki ya mpira ilipiga jackpot ya 1.2b, endelea kukalili maisha