Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Point yako ni wasiolewe na wasio na fedha.N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Daah wewe kibokoMwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
Halafu wewe ndio basha..haya kawatindue.Mwanamme asiefuatilia mpira ni sawa na james delicious tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahMwanaume anayeshabikia mpira ananifaa kinyama
Ushabiki wa mpira na maendeleo ni ardhi na mbingu....hakuna koneksheni hapo
Mwanaume asiyefuatilia mpira naonaga kama mdada mwenzangu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora kubishana na mpira, sasa mwanaume anasimuliana tamthilia ya huba kweli??? Na anasubiria next episode huyu si ako na umama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahhujakosea
Hasa hasa awe ni shabiki wa utopolo,
wengi wao ni makapuku wakubwa, wanaongea kama redio
Mkuu umenena ila mimi sijaegemea sana kwenye mipira akili yangu inawaza maboresho muda wote.Dada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira.
Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya timu za mpira.
Kama mtu anaweza kukariri wachezaji 11 wa timu 10 tofauti tofauti na walikotoka, huyu atakuwa kabeba kitu cha maendeleo kichwani mwake kweli?
Usiku badala ya kuwaza/kuota maenedeleo anawaza/kuota timu fulani inacheza kesho, timu fulani imefungwa jana, n.k.
Fuatilia mwenyewe, wanaume wengi sana watafutaji wazuri wa maisha huwa hawana time na mambo ya mipira. Wako bize na mashughuli ya kuwaingizia vipato.
Hawa mashabiki wa mipira ni fucken kabisa.
N.B. Ambaye tayari "anazo" akishabikia mpira haina shida lkn siyo yule ambaye bado anatafuta.
Noma Sana hili zaliKuna mangi moja shabiki ya mpira ilipiga jackpot ya 1.2b, endelea kukalili maisha