Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

MillionHairs mm tatizo ni ngozi yangu ya kichwa ina mmba sana mpaka nilinyoa nimeanza tena lakini mmba ni kikwazo kwangu. Nimeishatumia dawa nyingi sana za mmba bila mafanikio.
 
Last edited by a moderator:
images

Mwaaaa

Napenda kutinda nyusi sana na pia kupaka wanja...
Swali:ni namna gani ya utindaji huo wa nyusi unaotumika hapo au kuna kitu wanapaka ambacho kipo tofauti na wanja..msaada tafadhali napenda sana urembo....
Pili kipi kati ya scrub na feco ndy kizuri
 
View attachment 123948 View attachment 123950View attachment 123951

Wapendwa ndugu zanguni wa MMU hasa wadada...kama kunakitu au vitu vilikuwa ninakutatiza kuhusiana na swala zima
la urembo wa salon' basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na huduma za salon.

Hair Reluxer
Hair treatment
Hair special treatment
Misuko
Hair designing &
Beauty clinic (full package)

Je,unatatizo lolote la nywele zako za asili? Au unatatizo lolote la kucha zako za asili?

Yaliyo ndani ya uwezo wangu nitayajibu na yale ambayo yatakuwa nje ya uwezo wangu basi nitayaacha.


"UZURI UNAZALIWANAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE"

ni mafuta gani nitumie kujiweka rough dreads kwa natural hair
 
Nywele zangu ni ngumu ila nyingi dawa nyingi nshaweka hazikorei dawa yaan znaweza zkakorea kidogo sana yaan kww kifupi hazijawahi korea dawa nipake dawa gan..tcb.utrasheen.browout.olveroil ya kopo box..dakenlove ya box zote tayar sasa natumia easywave kidogo angalau nishaur pia na steaming gam
 
nashukuru kwa elimu unayopatia watu mimi natamani ku dread nywele zangu kwa sasa zina dawa pia sijui ni product gani za kutumia kama itawezekana ku zi dread kwa kifupi sijui nianzie wapi kutimiza azma yangu ya kuwa na dread

Sorry for my late reply…ushauri wangu kwako ni huu,nenda salon yoyote wanayodili na natural hair ila kwa sara subiria kwanza hiyo dawa ya kwenye nywele yako iishe ndipo uende ukiwa natural…watakushauri na watakuambia ni product gani ambayo itaendana na nywele yako kabla ya kukuhudumia.
 
Du! mie niliacha kufanya facials muda, baada ya kuona kila ninachosoma kuhusu ngozi na kushauriwa na wataalamu saluni wanachakachua kiidoooogo, kila napoenda, naona siridhiki. nanunua products =online nafaanya mwenyewe.
imani imepotea kwangu mimi binafsi.
kuhusu nywele nimeweka natural. mara chache huwa nashonea weaving, sina imani kabisa na saluni za bei mbaya au nzuri, vyeti ukutani au reception yenye kufanana na hoteli, wahudumu wa kimataifa au wa kitanzania, sio kwa TZ tu, hata nchi chache ambazo nimepita.
Ila ukinirudishia imani ntafurahi sana.

Sorry for my late reply…daah nimecheka sana! anyway hii inaitwa HATA KWETU WAPO.
Kusema ukweli siwezi kukurudishia imani yoyote kwani nimekuuliza salon gani au spa gani ambayo umeshapita hapa Dar naona haujanijibu,pili nimekuuliza je walikupima body au face skin yako kabla ya huduma nalo ujanijibu,tatu nimekuuliza je walitumia product gani naona nalo ujanijibu…badala yake kila ninavyozidi kukusoma between the line naona kama kuna mipasho au vijembe fulani kutokana na huduma za salon. Ila nimefurahi kusikia umeamua kujinunulia kila kitu na sasa unajitengeneza mwenyewe nyumbani 'kitu ambacho hakipo' Hongera na keep it up.
 
MillionHairs mm tatizo ni ngozi yangu ya kichwa ina mmba sana mpaka nilinyoa nimeanza tena lakini mmba ni kikwazo kwangu. Nimeishatumia dawa nyingi sana za mmba bila mafanikio.

Anti dandruff shampoo na treatment yake ya oriflame ni nzuri imenisaidia pia
 
Last edited by a moderator:
MillionHairs mm tatizo ni ngozi yangu ya kichwa ina mmba sana mpaka nilinyoa nimeanza tena lakini mmba ni kikwazo kwangu. Nimeishatumia dawa nyingi sana za mmba bila mafanikio.

Sorry for my late reply…hili tatizo ni toka udogoni au umelipata ukubwani baada ya kuanza urembo wa nywele?

Na je baadhi ya salon ulizoenda umewahi kuwaelezea hilo tatizo? na walikujibu nini?
 
Napenda kutinda nyusi sana na pia kupaka wanja...
Swali:ni namna gani ya utindaji huo wa nyusi unaotumika hapo au kuna kitu wanapaka ambacho kipo tofauti na wanja..msaada tafadhali napenda sana urembo....
Pili kipi kati ya scrub na feco ndy kizuri

Facial ni kitu kingine na face scrub ni kitu kingine…ila ufanyaji wa huduma zake zinafanana kwa mbaaali kidogo ila faida zake ni mbingu na aridhi. Hilo swali lingine linahitaji darasa na hii siyo sehemu yake.
 
Nywele zangu ni ngumu ila nyingi dawa nyingi nshaweka hazikorei dawa yaan znaweza zkakorea kidogo sana yaan kww kifupi hazijawahi korea dawa nipake dawa gan..tcb.utrasheen.browout.olveroil ya kopo box..dakenlove ya box zote tayar sasa natumia easywave kidogo angalau nishaur pia na steaming gam

Sorry for my late reply…anyway jape sijaziona na kuzishika hizo nywele zako lakini jaribu reluxer ya OLIVE MIRACLE na steaming yake ya kuingia kwenye steamer. Kwa ushauri wa zaidi nenda kwenye professional salon yoyote ile na uwaeleze hili tatizo na watajuwa jinsi ya kukusaidia.
 
Napenda kutinda nyusi sana na pia kupaka wanja...
Swali:ni namna gani ya utindaji huo wa nyusi unaotumika hapo au kuna kitu wanapaka ambacho kipo tofauti na wanja..msaada tafadhali napenda sana urembo....
Pili kipi kati ya scrub na feco ndy kizuri

hiyo kitu niliona nirvana waliielekea vzri tu
 
tuwekee basi na simu tukukong'oli

nina manatural hair marefu magumu nayapenda ila yanauma nikichana please i need help
 
Back
Top Bottom