πππππNikiwa narudi nitapita pale shoppers nikuletee chocolate, najua hakutakuwa na kesi tena.
Baba ukimjua mwanaπ
[emoji23][emoji174]Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga
Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi
[emoji706][emoji706]
binafsi utanisaidia sanaViumbe wenye jinsia "me" tnafahamiana ,usifiche urembo huo weweπ ..nitakufungulia uzi wa kukusifia lengo ni ku wa direct kitu kizuri kilipo
hahahahaHuko PM mizinga mingine mnapigwa na wanaume wazee wa assist...
Huko PM mizinga mingine mnapigwa na wanaume wazee wa assist...
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.[emoji23]
π π π ππππππ
Hapa baba atafanya makosa kila siku yale ya makusudi, utamuagiza kalamu za kuchorea atajifanya amesahau, baada ya week analeta box zima na choco, case solved..!!
Aisee...Kuna vizinga vya aina 2
1. Anapigwa ambaye mshachunguliana
2. Unapigwa vizinga ili utoke kwenye maisha ya mtu.
Kwa imethibitishwa utakaweza kweli haka kabinti? Carleenπ€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Kati ya Mac Alpho na Imethibitishwa T94X581 unampenda nani?
Abee mkuu πAisee...
Ondoa shaka ndugubinafsi utanisaidia sana
Hujambo....Abee mkuu π
Na bado hio vocha hairudishi..πππDemu anapiga mizinga kichizi. Halafu akiomba vocha, ukimtumia voda ya buku 2 anakutukana, eti mi unanionaje? Mimi vocha ya buku 2 ya nini.[emoji23]
Hahahahahah kumbe we yashakukuta braza, haya mwambie basi anirushie pic yake nimuone basiKwa imethibitishwa utakaweza kweli haka kabinti? Carleen
Yatakayo kukuta hayatakuwa tofauti sana na ile storyline ya wimbo wa Alikiba Ft Christian Bella π π ππ.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiwa na ID Za kike[emoji28][emoji28]
Wanaume Kazi mnayo