Mjomba Nkem Owoh bhanaπππUnaweza ukajikuta sasa unavutia waganga wenzangu kama Mshana Jr na Herbalist Dr MziziMkavu
Boraaaa wee umesemaaaa.Hakuna jambo la hatari mno kama kukuta watoto wa kiume wanapiga soga za umbea-umbea na watoto wa kike, hasahasa kuhusu maisha yao binafsi ya mahusiano. Ubaya zaidi wanamtuma mtoto wa kike kuja kuwasemea. Noma sana yani....
Halafu ninyi matajiri wa Jamii-Forums huwa mnashida sana. Hapa jukwaani huwa hamuachi majigambo. Mara kuishi Marekani, Ulaya, mko ofisi kubwa ,mna elimu nzito, na mifuko yenu imetuna mapesa.
Sasa mabinti wakianza kuwafuata huko PM kuwatandika vizinga au mkashindwa kumalizana vizuri huko nje, huwa mnarudi hapa jukwaani kuchafuana na kuanikana. Kwanini mambo yenu ya faragha msiyamalizie huko huko nje au PM. Yaani kila kitu chako binafsi lazima uje ukianike humu ???
NB: Kama huu uzi una ukweli, basi watoto wa kiume wamefika pabaya mno. It smacks a bad taste...
Ndio uhalisia huo si tunayaona mtaani. Ndio uchawa unaanzia hukuHii comment yako ili uielewe ni lazima uingalie kwa jicho la tatuπ€π€
Hatukomi ng"oHahah hahah mmekula simango la kufa mtu
Mgomviiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aaa jamanii[emoji1][emoji1]
Kama nako ghorofani kunasua sua si ndo nimeshakwenda na maji mimiπππππππHata ukiwa na Laser Tv ,ghorofani uko vizuri sana unawafunika hata wenye πΊ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mnaendaga kwa uzi kulee kuwathaminishaa wenzenu? Haya leteni picha za mademu wenu tuwaonee,Naomba umuite cocastic aongezee nyama nyama point yako[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hapo nshashindwaaa mda tyuuh.tatizo ambalo utalishindwa kwangu nimoja tuuu.yani utanguluze picha yako niione hayo mengine hakuna shida kabisa
Muwe mnanifuata pm na mimi jamani, nitabarikiwa na mimi nitawabariki wala sitaenda kuwasimangaHatukomi ng"o
Niwacheeeeeeeeeeeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mrembo akinionesha picha yake niko tayari kuhonga
Nimeshakupoteza jamaniπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίflatscreen shida sana.sio ubaguzi ndio ukweli tv ya chogo la kawaida.
wanaomiliki hisense hawajisemi, kwa lips zile kwenye ile avatar uliyoitoa haiwez kuwa inamiliki hisense tv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah acha umbeaa wee kaka jaman, uwiiiiihKwenye huo uzi wa picha huwa anafuta Kuna mona ilisahaulika nenda kaitafute
Ukiikosa rudi nikuelezee jinsi alivyo[emoji28]
Weee.......Kama nako ghorofani kunasua sua si ndo nimeshakwenda na maji mimiπππππππ
Niko njiani mjombaMuwe mnanifuata pm na mimi jamani, nitabarikiwa na mimi nitawabariki wala sitaenda kuwasimanga
Utabondwaaaa wee apo, mxxxxieeeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niliacha kwenda huko baada yakuona pichazao ni mbaya mbayatuu.nifanyie wepesi mkuu Kama nimweupe lakini Mana kule niweusi tupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Keupe keupe
Kana tako la kunyunyiza kwa mbaliiii
Kiufupi ni petite ....kazi kwako[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama mweupe hapo sawa...
NitakulindaNaogopa kutekwa mkuu! Nihakikishie usalama wangu mbele ya mashahidi.