Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Boraaaa wee umesemaaaa.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
tatizo ambalo utalishindwa kwangu nimoja tuuu.yani utanguluze picha yako niione hayo mengine hakuna shida kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hapo nshashindwaaa mda tyuuh.
 
sio ubaguzi ndio ukweli tv ya chogo la kawaida.
wanaomiliki hisense hawajisemi, kwa lips zile kwenye ile avatar uliyoitoa haiwez kuwa inamiliki hisense tv
Nimeshakupoteza jamaniπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ίflatscreen shida sana.

Imebidi nijiangalie Kwa nyuma kwanza.lakini kadri ninavyogeuka nijitazame sikutani na ninachokitafutaπŸ˜„πŸ˜„ very sad
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]niliacha kwenda huko baada yakuona pichazao ni mbaya mbayatuu.nifanyie wepesi mkuu Kama nimweupe lakini Mana kule niweusi tupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utabondwaaaa wee apo, mxxxxieeeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…