Hajui huyooo muacheee ababaike kivyake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi kwako Sasa..
Ila warembo wapo mule ...uliza vizuri ndugu upewe connection [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa mnooooo.Hao wanaume wanafuatwa na wanaume wenzao wenye ID za kike maana wapo wengi.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Karibu sana. Nakumbuka those days 2002 nilikuwa na kademu pale CBE kakaniomba nikanunulie Motorola ilikuwa maarufu sana kwa jina la T.I.D, nikakaambia sawa. Nakuletea zawadi utakayoweza kununua T.I.D mbili, demu mawazo yake yakamruka, enzi hizo cheni za gold ndio habari ya mjini, basi akajua atapata moja.Niko njiani mjomba
Huo ni uongoo, umejiangalia kwa sababu unajua kipo cha kuangalia. namba 8 mgongoni 😁Nimeshakupoteza jamani🥺🥺🥺🥺flatscreen shida sana.
Imebidi nijiangalie Kwa nyuma kwanza.lakini kadri ninavyogeuka nijitazame sikutani na ninachokitafuta😄😄 very sad
Kwakweli ........JF kuna wadada wengi muwe mnataja hizo ID zaidi ya hapo ni ramli chonganishi tu
Jamanii 🤣🤣🤣........Sasa unateseka nini? Wengine shamba lao ni mifuko ya watu.
Na hicho chama chenye wanawake 2 na wanaume zaidi ya 10, kitakuwa batili, refer 2022 sensa ya watu na makazi.
Yani nyie ndo mabeberu wenyewe sasaUnaotuambia tuwape hela sisi siyo wananchi wa hiyo nchi ombaomba?
Mbona sijawathaminisha kwa ubaya mama😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mnaendaga kwa uzi kulee kuwathaminishaa wenzenu? Haya leteni picha za mademu wenu tuwaonee,
Ukute ni Shumileta toleo jipyaaa.
Tatizo huyo kijana ananisumbua sana "nampenda coca nampenda coca mara katoto keupe sijui Nini,ndio namsaidia kukuelezea ili moyo wake uzame mazima na nimempa onyo "bila valentine gifts ya gharama kubwa asikufuate"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah acha umbeaa wee kaka jaman, uwiiiiih
Aise…mjomba kumbe mhenga ee…🤛🤛Karibu sana. Nakumbuka those days 2002 nilikuwa na kademu pale CBE kakaniomba nikanunulie Motorola ilikuwa maarufu sana kwa jina la T.I.D, nikakaambia sawa. Nakuletea zawadi utakayoweza kununua T.I.D mbili, demu mawazo yake yakamruka, enzi hizo cheni za gold ndio habari ya mjini, basi akajua atapata moja.
Nikamwambia jumamosi asubuhi nakuletea zawadi nikija kunywa supu CBE Club. Ile naingia tu namuona bibie yuleeee, amewaka mwenyewe.
Basi akanipokea kwa lundo la mabusu, hata supu anainywa hainyweki. Basi nilipo maliza kula nikamwambia zawadi yako iko kwenye gari.
Tukaenda kwenye gari Toyota Hilux 12R, model 1982. Ile tumefika tu kwenye gari anaona magunia matano ya mchele, nikamwambia hii ni zawadi yako.
Msichana akaipokea kwa shingo upande sana, basi nikatafuta vijana, wakaushusha ule mchele, wakaupeleka Serengeti chumbani kwa binti.
Nikampa na mzani na mifuko, nikawa namtafutia wateja maofisini binti anafanya delivery, alitengeneza sana hela.
Mwanzoni hakuyasoma mawazo yangu
Tomaso acha ubishi basi😆😆Huo ni uongoo, umejiangalia kwa sababu unajua kipo cha kuangalia. namba 8 mgongoni 😁
SanaaaMbona sijawathaminisha kwa ubaya mama😅
Wifi yako ni chombo matata sana
Kutia chumvi huchelewi😅Sanaaa
Vibaya mnoKutia chumvi huchelewi😅
Hahah hahah hahah labda katoto ka kuniita baba babuAise…mjomba kumbe mhenga ee…🤛🤛
Ni naimani huyo dada atakuwa sehemu fulani kimaisha (kama alikuwa na akili)na atakuwa anakushukuru sana aise.
Sasa mjomba mimi ninaweza kununua iPhone14 cash…unaonaje na mimi ukaniletea zawadi ya kile ninachoweza kununua mara mbili Yake ili nifanye biznes kama ulivyomsapraizi yule mdada wa sibiii😎
Ulitumia akili kubwa sana aise.ulikuwa mbele zaidi ya miaka kumi kwenye maisha yake 🫡🫡
Mungu akubariki
Yes. Alipiga hatua parefu, ila akaanguka. Biashara inahitaji sana nidhamu binafsi, nidhamu ya muda na nidhamu ya fedha.Ulitumia akili kubwa sana aise.ulikuwa mbele zaidi ya miaka kumi kwenye maisha yake 🫡🫡
Na Mimi nitakusingizia wewe binti matataVibaya mno
Mbona baba babu😆😆😆Hahah hahah hahah labda katoto ka kuniita baba babu
Aisee kumbe na ndani ulimuweka 😍😍basi ulimpenda sana huyo dada ni vile alikuwa hajakomaa kiakili Maskini ya Mungu.Yes. Alipiga hatua parefu, ila akaanguka. Biashara inahitaji sana nidhamu binafsi, nidhamu ya muda na nidhamu ya fedha.
Tuliachana vibaya sana, alikuwa na kiburi sana, nilimweka ndani, mama alipokuja kututembelea akaanza kumwita mama mchawi. Nyumba niliyokuwa nikiishi by the time, ni ya mama, aliniachia baada ya kustaafu akaenda kuishi shamba.
Baada ya yule dada kumchafua mama kila sehemu, mama akatutimua kwenye nyumba yake. Uzuri nilikuwa na pagala Salasala nikahamia hivyo hivyo.
Baada ya kipindi fulani yule binti akapata marafiki mashangingi ikawa yeye na starehw, starehe na yeye. Tukashindwana mazima