Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Sitaki kuamini, itakuwa ni uchovu wa kazi za shamba tu 🤪Sikuhiz umechachuka😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kuamini, itakuwa ni uchovu wa kazi za shamba tu 🤪Sikuhiz umechachuka😂
Kungwi mwenzangu nakugawa.naona picha zangu zitakuwa zinanuka ugoro tupu maana ni mbayaSanaaaa, nikuelezee binti kungwi? Nikiona picha tu naweza kufahamu Hadi the way unavyoongea,vile unanukia ,vile unatembea 😅..Hadi unabehave kwa partner wako
Hapana nasemea kule kwa uzi wa 🤳🤳🤳 tulivyochambwa Humu pia sijui kunahusiana Vipi na mizinga!Mwanachama wa mizinga jf?
Inatosha kutusema na huu weusi wetu jamani😄😄sema wengi weusi mule
Sasa mnashangaa nini?Hahahahahah hio ya kwanza ndio common.
Why unaruka kwenye conclusion?acha kungwi atoe point dk 10 tu huko vijana watajaa hutopiga mizinga Bali wataomba hizo bank acc wakuvute ua 😅Kungwi mwenzangu nakugawa.naona picha zangu zitakuwa zinanuka ugoro tupu maana ni mbaya
Kijana ana wivu pia ana chaguzi zake angeziona asingewatolea maneno yaleHapana nasemea kule kwa uzi wa 🤳🤳🤳 tulivyochambwa Humu pia sijui kunahusiana Vipi na mizinga!
Nawe utatunyima ?NI upendo tu unajitoa kadri ya ulivyojaaliwa.
Mambo yake tumuachie mwenyewe Walai!Kijana ana wivu pia ana chaguzi zake angeziona asingewatolea maneno yale
Si umeshauunga na Mbappe wenu🤣🤪🤪nimecheka .
Umenibania kuunda undugu🧐🧐
TanteeeeVyote unavyo.hongera
Haya majitu yanakuwa maziwa tu na matako... akili ni za mende 😅👍🏾Yaani, umenena haswa.
Wanawake wamezidi.
Mizinga kwa wengine ndiyo sehemu ya maisha...
hapana ila nafanya nachomudu.Nawe utatunyima ?
hahaha,mie msomaji tu,rafiki,sina mchangochangiapo kidogo rafiki
“Nimefuga hadi nyuma sumu nikawa nauza nje” mkuu hiyo nyuma uliofuga ni ipi? Ni fursa mpya au ilikuaepo?
Vizuri rafikihahaha,mie msomaji tu,rafiki,sina mchango
Ndugu kungwi hakuna kitu kizuri kama kuwa miss independent 😀😀chaaaaeeeee…Why unaruka kwenye conclusion?acha kungwi atoe point dk 10 tu huko vijana watajaa hutopiga mizinga Bali wataomba hizo bank acc wakuvute ua 😅
Nasubiri ruksa yako nitoe sifa zako.