Wadada wa Dar na Visigino vyao

Bila ka picha huu Uzi ni batiliπŸ€“πŸ€“πŸ€£πŸ€£ natania tu in JPM voice
 
Tatizo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna Mmoja alikuja Kwangu kwa Shughuli Maalum kumbe Miguuni alikuwa na Magaga na Kunichania Shuka langu Zuri la Urithi. Nilikereka mno.
 
Uk
Ukiangalia gaga linakuzomea πŸ˜–
 
Sendoz uvae huna mizunguko ya kwenye mavumbi, na usiburuze miguu ukitembea,

Mimi navaa Raba na Boots ndio nimejaza ndani, Sendoz huvaa nikiwa na mizunguko mifupi sababu sijui kutembelea sendoz pia natembea haraka haraka,

High heels navaa kwenye special Occasions tu.
 
Duuh

Where are we heading as a nation
Bullying ur fellow woman is not accepted

Whatever the situation is is there own life jamani

But eniwei i come with peace
Kukumbushana usafi i don't think kama ni bullying labda tone iliyotumika ndio ilikua deep.
 
nikivaa raba naweza nikavua njiani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Najitahidigi kwenye mazoezi tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ kwamba ukitembea haraka haraka sendo inakataa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…