Sawa the mafiaNikusaidie wanawake waliopo Twitter ndio waliopo JF…..!!
Halafu hakuna cha ajabu mwanamke kuwa huku, kingine ukitaka kumjua mwanamke wewe fatilia michango yake, kuna vitu atashindwa kujadili km mwanamke lazima ataonyesha uhalisia wake sababu anaigiza..!!
Atajifanya mwanamke kwa muda mbele huko atajionyesha tu yeye ni nani?
❤️Napenda sana kusoma Ujumbe bila picha.....nikajikuta nimo
Wewe ni mmoja kati ya walionifanya niandike uzi huu, itoshe tu kusema ❤️🙏🏾, be blessed.Uzururaji ulinifikisha hapa mkuu
Ni kweli kabisa Madam, uandishi wako unaonekana ni wa rika langu kbs, JF ina chocho nyingi sana, ni uzururaji wako tu, very addictive.TUPO MKUU TUPO......
Mie nikiwaambia watu kama sina hata account ya INSTA wananishangaa. Huwa naulizwa umbea naupata wapi sasa!?
Mimi baada ya Watsapp na JF Labda na NETFLIX hayo mambo mangine hata kuyafaham siyafaham. kwanza sina muda kivileeeee.
Ila mimi sina characters za kiume wala sio msomi, basi ni maamuzi yangu tu. Ht Watsapp ingekuwa sio kwa sababu ya mawasiliano na ndugu na jamaa waliopo mbali pamoja na masuala ya kazi basi wala nisingeshughulika nayo pia
Kwa maelezo yako tu, unaonekana una awareness kubwa sanaTUPO MKUU TUPO......
Mie nikiwaambia watu kama sina hata account ya INSTA wananishangaa. Huwa naulizwa umbea naupata wapi sasa!?
Mimi baada ya Watsapp na JF Labda na NETFLIX hayo mambo mangine hata kuyafaham siyafaham. kwanza sina muda kivileeeee.
Ila mimi sina characters za kiume wala sio msomi, basi ni maamuzi yangu tu. Ht Watsapp ingekuwa sio kwa sababu ya mawasiliano na ndugu na jamaa waliopo mbali pamoja na masuala ya kazi basi wala nisingeshughulika nayo pia
Mmh 😀Maua yetu uliyoandika unatupa yako wapi? Mbona nyuzi ina maswali tu 🙄
🌹🌹🌹Maua yetu uliyoandika unatupa yako wapi? Mbona nyuzi ina maswali tu 🙄
😹😹 NtakuchapaSawa the mafia
NakaziaWanatafuta hela hao..... Njaa mbaya utu unapotea 😂
Watu wa hovyo kwanini usiseme unahitaji msaada ukasaidiwa ?Nakazia
MWanzo kabisa jf ilikuwa na member wasomi,viongozi wakubwa,diaspora,wafanyabiashara na wastaafu na wanaharakati wa mapinduzi
Na hao niliowataja ilionekana mapene wanayo,sasa sjui ni nani aliwatonya hao wadada ikabid waje wajaribu bahati zao huku
wadada wa mwanzo walikuja kama wife material
Wadada wa siku hizi mfano kama kadogo wao wanakuja kuuza na wanaweka wazi kabisa kuwa inauzwa hii ni baada ya kuona wale wa mwanzo waliojofanya wife material kupigwa matukio na hawakupata chochote
Duh!Basi wengi ni wale wenye characters za kiume mkuu, mwanamke kuacha tiktok, fb, insta kuja jf ni ngumu sana, pia anakuwa na elimu ya kujitambua sana(msomi)
Mwanamke wa kawaida hawezi kuacha kujisnap aje jf kuitana mkuu, kiongozi, bro
Umemsahau cocastic
Ndo hapo sasa labda wanahitaji kubakk wenyewe 🤣Kwani jf ina maajabu gani?
Halafu pia inategemea na choice ya mtu..mimi binafsi sio mpenzi wa tiktok wala sina account huko
Kwahiyo nitakuwepo jf kusoma na kufurahia post za humu...au mlitaka muwe wanaume wenyewe?
Mngetongozana je sasa 🤣
Wow! Fanya nikuone basi 😘😋Wewe ni mmoja kati ya walionifanya niandike uzi huu, itoshe tu kusema ❤️🙏🏾, be blessed.
Basi wengi ni wale wenye characters za kiume mkuu, mwanamke kuacha tiktok, fb, insta kuja jf ni ngumu sana, pia anakuwa na elimu ya kujitambua sana(msomi)
Mwanamke wa kawaida hawezi kuacha kujisnap aje jf kuitana mkuu, kiongozi, bro
et wewe ni mkaka?Binti Sayuni nipo hapa😍
hapana huyo sina uhakikaUmemsahau cocastic
anakutumia ya kike au ya kiume?Unamwambia akutumie na picha anakutumia aisee😀