Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Tabia za kiume na kike si zinafahamika? Kwa mfano, siyo kosa kwa mwanaume kuwa na snapchat lakin tutashangaa tuView attachment 3236908
Mnapataga wapi ujasiri wa kutuongelea na kutuwekea limits hivi? we unawajua wanawake wote duniani na characters zao?
Da To-Ye nitafutie mpnz JF basiWow! Fanya nikuone basi ππ
Sawa, subiri kidogoπ₯΄Da To-Ye nitafutie mpnz JF basi
HeheheKwanza kabisa naomba nianze kwa kusalimia
Wakubwa zangu Shikamoo, wadogo zangu Marahaba, Mashangazi Chei chei!,
Nimejiuliza sana hivi mliwezaje kujiunga na JamiiForums, maana nimejaribu kufanya tafiti kwenye jamii inayonizunguka simuoni mdada anayefanania kuwa na akaunti JF, wengi wao utawakuta wako kwenye social media nyingine kama X, instagram, tik tok na nk
Nyie ilikuwaje mkatokea JF naombeni mnipe ushuhuda kdg, ilikuwaje, na nani aliku_introduce JamiiForums na uliwezaje kufungua mpk akaunti, aisee nyie ni noma.
Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
Salaam zenu kutoka CHAPUTA na KATAA NDOA mmelika kweli kweli.
Usikute ana akaunti yake ya siri na huwa anareply kwenye nyuzi za mashangazi π€£π€£π€£Niliwahi kwenda kwenye ofisi flani ya umma, ofisi ya cheo...
Nikamkuta KE mweusi mfupi mnene, umri wa kiutu uzima, akiperuzi jf kwa guest mode.
Hakuwa na kauli za kiupole kabisa.
nimeonana naye kama mara tatu hivi anaonekana ni muongeaji sana.Usikute ana akaunti yake ya siri na huwa anareply kwenye nyuzi za mashangazi π€£π€£π€£
πππ Sawa.Sawa, subiri kidogoπ₯΄
Nina ID kama mbili nimezifanya za kike na zinanipa mkwanja kinomaPlease hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
πππ DuuhNina ID kama mbili nimezifanya za kike na zinanipa mkwanja kinoma
Hii biashara inalipa sio poa watu wanajichanganya tu kila sikuπππ Duuh
Hii biashara inalipa sio poa watu wanajichanganya tu kila siku
Labda umenizidi kwa sana tu umriMadam Shikamoo kwanza, wewe ni legendary humu.
How?Utakuja ubanduliwe wewe
Sasa wewe unaona sifa kujifanya ke ule za wana kweli?How?
Haa! Muogope Mungu we jamaa tupo tumejaa tele na maua yetu tumepokeaJf haina wanawake mkuu, believe me ni madume tu walioamua kuturidhisha vidume wenzao
Hamna nilikuwa natania tuSasa wewe unaona sifa kujifanya ke ule za wana kweli?
Hapo sawaaHamna nilikuwa natania tu