Wadada wa JamiiForums naomba mpokee maua yenu

Hehehe
 
Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
Nina ID kama mbili nimezifanya za kike na zinanipa mkwanja kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…