Wadau wa JF tujuane kwa kazi zetu, na dharau zitapungua

Wadau wa JF tujuane kwa kazi zetu, na dharau zitapungua

Ndaka, saidia fundi, pia mie kiraka popote nafit
 
Ni mimi nilieleta neno "have" hapa duniani "has" alileta trump
 
mala zote umekuwa ukijisifia kuwa ni miongoni mwa wanainteligensia walidhawa/tukuka wa JESHI LA WANANCHI unapewa maagizo na wakuu wako kutembea nchi mbali mbali duniani hasa uganda. ulifukuzwa na kujikita katika uganga(hasa utabiri,umanju na ulozi wa simba) na uvuvi?
Ukijisifia ndiyo Kiswahili gani? Damn Fool.
 
Wakuu

Humu kumekuwepo na dharau za hapa na pale humu jukwaani.unakuta mtu anakushambulia,anakutukana kwamba mnalingana umri, cheo, au mali.

Unakuta mtu anadharaulika mtaani kwake lakini jukwaani anajiona mtemi,anafoka na kuwadharau wengine

Leo nataka tukate mzizi wa fitna, tujuane kwa umri na vyeo vyetu,heshima itarejea na ustaarabu utarejea jukwaani

Mimi ni mmachinga wa kuuza maji,karanga,soda na vitu vidogovidogo vya wasafiri katika stand X na mkoa X (utani)

Karibuni
Mganga wa kienyeji na mhudumu mstaafu wa mochwari na chumba cha kunyongea
 
uzi upo kwenye jukwaa la utani,unategemea wote watakaotoa majibu hapa wako seriously? Hapana tupo hapa kupoteza mawazo,kufurahi,kutaniana na kusubiri muda wa nyapu ufike tuzinyapue, au nakosea mtani wangu mzabzab mkaazi wa kaliua TABORA ?
Upo sahihi mkuu nakula viazi vitamu na asali hapa kaliua...karibu sana
 
Back
Top Bottom