Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Hahahaa

Ila walosema life starts at 40 walimaanisha mda wa kula matunda ya jasho lako ni hapo 40
 
Kiongozi pesa inatabia yake kama binadamu sasa nikuomba mungu uwe na damu ya pesa yani uendane nayo ukiona mtu anapata pesa anachezea usimlaumu uyo mtu yeye na pesa hawandani kwakua tunaitaji pesa ili kutatua changamoto za maisha ya kila siku tunazitafuta ingekuwa pesa sawa na mke amini nakwambia wengi wangeachana nayo


Swali je una damu ya pesa?

Jipime kwa kuangalia kipato chako je kinaendana na maendeleo uliyo nayo ukiona unashika pesa unashia chezeaa tambua huna damu ya pesa kwaiyo wewe chezea tu una damu ya shida ndio maana unashika pesa baada ya mda furani unakosa hata shilingi Mia ya kulinda mfuko
 
Ukiwa mtafutaji alafu usiweke akiba hakika wewe ni bwege ..Akiba muhimu sana kwenye life mkuu .Hilo linazingatiwa kikamilifu
 
Huyo anazungumza hivyo mawili, either akikaa mwenyewe nafsi inamuuma na kujiona mjinga ama hata hiyo pesa yenyewe hajaishika na kuifanyia ujinga huo anachangamsha genge tu [emoji23][emoji23].

All in all hapangiwi mtu maisha fainali ni uzeeni.
Sijashika million ??
 
Niaje msupa...
Niko na talent....
Naweza fungua bra na mkono moja,wataka kuona?!
Okay,keti chini ah geuka hivi😂😂😂😂
 
Mkuu Hilo swala vijana ni gumu hasa kwa nzia miaka 16 mpaka 25 hawawezi kuwa na hio nizamu kwanza bado ujana mwingi na hio stage lazima upitie na usipoipitia utaipitia uzeeni hata Mimi nilipitia na Sasa nimekuwa na nizamu kubwa Sana ya pesa na kuna wakati nawaza hio stegi ningekuwa mbali Sana kiuchumi Kama ningekuwa na hio nizamu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Juhudi pevu yahitajika mkuu.
 
Mkuu ukiwaza ungekuwa mbali waza je ungekufa so shukuru Mungu kwa uzima na uhai ulionao mpaka leo
 
Daaah noma hii.
 
Bila kusahau kamari na madawa ya kulevya.

Bora totoz kuliko vyote hapo.
 
🥴
 
Yaan ndo kinachofanya huu uzi uwe interesting sana, story zote ni mulemule, mizunguko tofauti ila conclusion ni moja.

Hivi ushawahi kumka ukaanza kujisachi kila kona angalau ufikishe 3000 ukanywe supu na jana yake umetumia kama laki?
Ahhahh,aisee kumbe hili pepo linatukuta wengi,sasaiv starehe za makundi ya chawa sitaki kabisa
 
Miaka kama mi 4 nyuma nilikuwa nafanya kampuni moja hivi siku hyo nikawaambia likizo yangu nitaondoka wakasema hakuna wa kushika nafasi yako kama uza upige kazi. Nikawaambia hakuna noma.

Siku ya siku nimeenda nikaitwa hela ya likizo imeshawekwa na marupurupu kadhaa, balance kama laki 9 hivi. Nikasema yees jioni nikawashtua wanangu wawili hapo kazin nikawaambia oya tukapunguze kidogo hizi chenchi.

Hao tukatoka na jamaa wawili hadi bar agiza msosi kwanza zikaanza chupa. Mara washkaji simu zikaanza kuwashtua madem zao naona wanakuja wawili wawili meza ikajaa na washkaji wengine wakajiunga backet ikaww haitoshi sasa ni kreti linaletwa bill kwangu, wengine saint Anna bill kwangu.

Asee kufika mida ya saa nane hivi kucheki balance nina laki 3 pekee. Na nilipanga kesho asubuhi nikanunueTv kubwa hiyo hela nikatoa yote bank.😂😂
Kesho yake nikabaki na mawazo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…