raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Dahh.. Nina ka laki 3 hapa nilitaka nitoke ila umenikata stimu.. Sema acha nitoe tu 30k[emoji1787] Sema kiukweli ambao tumejiajiri Kuna muda tunakuwa na matumizi mabaya sanaOfcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).
Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.
Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.
Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.
Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.
JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.
Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima
#Weekending
Juzi sioni 60k ila nahisi kuna chimbo rum nliificha maana nlikuja na kademu kangu za long kidogo na asubuhi nlikasachi labda kama kalificha kunako makal ...... au basi π€£π€£π€£Ile asubuhi unaamka unaanza kwanza kuitafuta wallet, unapapasa suruali unaikuta iko mfuko wa nyuma.
Issue inakuja kwenye kuifungua. Aisee...unachokumbuka ni kwamba jana yake ulipita kwa wakala ukatoa laki 2, labda elfu hamsini ukamtumia mdogo wako ambaye yuko Chuo.
Swali ni je, kwenye ile laki na nusu iliyosalia, ulitumia sh ngapi na bakaa ni sh ngapi?
Ukikuta imebaki 7,500/= lazima upate wenge urudi kulala [emoji23], ukikuta imebaki walau 70,000/= lazima ujisogeze tena kwenye ki-pub cha jirani ukazimue kwa furaha [emoji23]
Maisha haya...
Dah...[emoji23][emoji23] [emoji119]Juzi sioni 60 ila nahisi kuna chimbo rum nliificha maana nlikuja na kademu kangu za long kidogo na asubuhi nlikasachi labda kama kalificha kunako makal ...... au basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangazo lako limekaa poa sana ngoja warembo waje pmOfcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).
Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.
Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.
Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.
Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.
JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.
Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima
#Weekending
Hawa sio wa kuwachekea π€£π€£π€£π€£Dah...[emoji23][emoji23] [emoji119]
Pokea maua yako mkuu, umetisha sana [emoji1787]
ExactlyNakumbuka ilifika kipindi mpaka nikawa najichukia kwa matumizi mabaya ya fedha, zikiisha unajiapiza viapo vyote kuwa next time nitakuwa na discipline, Mungu anakuangalia tu huku anasema iiiiiiiiiiih! (In magufuli voice) , ni kama Mungu anakuwa anakupa majaribu vile.
Haipiti wiki mbili mara βmshindoβ huu hapaa, sa si unasema ngoja nikapige mbili tu alafu nipate mood ya kusuka mipango, unasahau safari moja huanzisha nyingine kuja kushtuka laki ishaisha [emoji23][emoji23] unajipa kauli za kishujaa, Sea never dry, man never die [emoji23][emoji23][emoji23] kesho nayo siku.
Kuja kukaaa sawa mwezi, mwaka , miaka inakatika maisha yako ni yale yale unapiga mark time tu.
Sasa unafanya nini na hela zilizoongezekaMimi siyo tajiri bado lakini wakati naanza kuzoea kushika million 1 ikapanda tano mpaka sasa siri yangu sijawahi kuongeza kiwango cha matumizi eti kwa sababu hela nimeipata kwa jasho.
Wewe kijana unayetumbua kipato chako madai hela umeipata kwa jasho unapaswa ujue hakuna hela isiyopatikana kwa jasho hata huyo malaya mwenyewe anayejiuza ili hela yake aifurahie lazima jasho limtoke japo anasikia raha.
Mleta mada umewashauri vizuri vijana.
Mafumizi gani hayo mabaya? Toka lini kugegeda warembo kikawa matumizi mabaya yapesa?Dahh.. Nina ka laki 3 hapa nilitaka nitoke ila umenikata stimu.. Sema acha nitoe tu 30k[emoji1787] Sema kiukweli ambao tumejiajiri Kuna muda tunakuwa na matumizi mabaya sana
Miaka kama mi 4 nyuma nilikuwa nafanya kampuni moja hivi siku hyo nikawaambia likizo yangu nitaondoka wakasema hakuna wa kushika nafasi yako kama uza upige kazi. Nikawaambia hakuna noma.
Siku ya siku nimeenda nikaitwa hela ya likizo imeshawekwa na marupurupu kadhaa, balance kama laki 9 hivi. Nikasema yees jioni nikawashtua wanangu wawili hapo kazin nikawaambia oya tukapunguze kidogo hizi chenchi.
Hao tukatoka na jamaa wawili hadi bar agiza msosi kwanza zikaanza chupa. Mara washkaji simu zikaanza kuwashtua madem zao naona wanakuja wawili wawili meza ikajaa na washkaji wengine wakajiunga backet ikaww haitoshi sasa ni kreti linaletwa bill kwangu, wengine saint Anna bill kwangu.
Asee kufika mida ya saa nane hivi kucheki balance nina laki 3 pekee. Na nilipanga kesho asubuhi nikanunueTv kubwa hiyo hela nikatoa yote bank.ππ
Kesho yake nikabaki na mawazo tu.
Balaa zito mkuu, hadi wazee nao wamo.Sahihi kabisa Mkuu, yaani Kamari na yenyewe ni tatizo.
Saivi ukikutana na Kijana 18-30 ha bet basi ni nadra sana
Sijui tunazalisha Taifa la namna gani huko mbeleni π
Leo umecomment πBinafsi naona matumizi yaendane na kipato
Kijana acc inasoma umwambie masuala ya kujibana etc ni suala gumu kidg kuingia akilini
Binafsi kunywa kwa magroup ni suala ambalo siwezagi tokea zamani na ikitokea kila mtu na mfuko wake π»
Mbona nina nondo nyingi sana humuLeo umecomment π
Naona una react sana kuliko commentMbona nina nondo nyingi sana humu
Watu wengi tu wapo kundi hiloWiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" ,
Kwamba Wazee nao wanabet siku hizi π πBalaa zito mkuu, hadi wazee nao wamo.