Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Binafsi naona matumizi yaendane na kipato
Kijana acc inasoma umwambie masuala ya kujibana etc ni suala gumu kidg kuingia akilini
Binafsi kunywa kwa magroup ni suala ambalo siwezagi tokea zamani na ikitokea kila mtu na mfuko wake 🍻
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
Dahh.. Nina ka laki 3 hapa nilitaka nitoke ila umenikata stimu.. Sema acha nitoe tu 30k[emoji1787] Sema kiukweli ambao tumejiajiri Kuna muda tunakuwa na matumizi mabaya sana
 
Ile asubuhi unaamka unaanza kwanza kuitafuta wallet, unapapasa suruali unaikuta iko mfuko wa nyuma.

Issue inakuja kwenye kuifungua. Aisee...unachokumbuka ni kwamba jana yake ulipita kwa wakala ukatoa laki 2, labda elfu hamsini ukamtumia mdogo wako ambaye yuko Chuo.

Swali ni je, kwenye ile laki na nusu iliyosalia, ulitumia sh ngapi na bakaa ni sh ngapi?

Ukikuta imebaki 7,500/= lazima upate wenge urudi kulala [emoji23], ukikuta imebaki walau 70,000/= lazima ujisogeze tena kwenye ki-pub cha jirani ukazimue kwa furaha [emoji23]

Maisha haya...
Juzi sioni 60k ila nahisi kuna chimbo rum nliificha maana nlikuja na kademu kangu za long kidogo na asubuhi nlikasachi labda kama kalificha kunako makal ...... au basi 🤣🤣🤣
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
Tangazo lako limekaa poa sana ngoja warembo waje pm
 
Nakumbuka ilifika kipindi mpaka nikawa najichukia kwa matumizi mabaya ya fedha, zikiisha unajiapiza viapo vyote kuwa next time nitakuwa na discipline, Mungu anakuangalia tu huku anasema iiiiiiiiiiih! (In magufuli voice) , ni kama Mungu anakuwa anakupa majaribu vile.

Haipiti wiki mbili mara “mshindo” huu hapaa, sa si unasema ngoja nikapige mbili tu alafu nipate mood ya kusuka mipango, unasahau safari moja huanzisha nyingine kuja kushtuka laki ishaisha [emoji23][emoji23] unajipa kauli za kishujaa, Sea never dry, man never die [emoji23][emoji23][emoji23] kesho nayo siku.

Kuja kukaaa sawa mwezi, mwaka , miaka inakatika maisha yako ni yale yale unapiga mark time tu.
Exactly
 
Mimi siyo tajiri bado lakini wakati naanza kuzoea kushika million 1 ikapanda tano mpaka sasa siri yangu sijawahi kuongeza kiwango cha matumizi eti kwa sababu hela nimeipata kwa jasho.

Wewe kijana unayetumbua kipato chako madai hela umeipata kwa jasho unapaswa ujue hakuna hela isiyopatikana kwa jasho hata huyo malaya mwenyewe anayejiuza ili hela yake aifurahie lazima jasho limtoke japo anasikia raha.

Mleta mada umewashauri vizuri vijana.
Sasa unafanya nini na hela zilizoongezeka
 
Miaka kama mi 4 nyuma nilikuwa nafanya kampuni moja hivi siku hyo nikawaambia likizo yangu nitaondoka wakasema hakuna wa kushika nafasi yako kama uza upige kazi. Nikawaambia hakuna noma.

Siku ya siku nimeenda nikaitwa hela ya likizo imeshawekwa na marupurupu kadhaa, balance kama laki 9 hivi. Nikasema yees jioni nikawashtua wanangu wawili hapo kazin nikawaambia oya tukapunguze kidogo hizi chenchi.

Hao tukatoka na jamaa wawili hadi bar agiza msosi kwanza zikaanza chupa. Mara washkaji simu zikaanza kuwashtua madem zao naona wanakuja wawili wawili meza ikajaa na washkaji wengine wakajiunga backet ikaww haitoshi sasa ni kreti linaletwa bill kwangu, wengine saint Anna bill kwangu.

Asee kufika mida ya saa nane hivi kucheki balance nina laki 3 pekee. Na nilipanga kesho asubuhi nikanunueTv kubwa hiyo hela nikatoa yote bank.😂😂
Kesho yake nikabaki na mawazo tu.

Broo una Moyo.
Mi natoka na Chawa mmoja Dem ntaokota huko Mbele ya safari.
Baketi ya kwanza yapili,Yatatu inaletwa room wakati Malay akiwa nyuch
 
Yap ni kwel hapa bora nimefungua JF maana nilikuwa na mpango wa kujilipua kufanya kufuru ya matumizi.

Umasikin mbaya sana, yaan unatufanya kile tulichokitafuta mwezi mzima tunakimaliza ndani ya siku3 which Is Nonsense.

Tujitahidi kuzingatia matumizi mazuri ya Pesa, watu wengi wana matumiz mabaya ya pesa hasa pale unapopita kipindi kigumu alafu ukazipata pesa, chap unakimbilia kuumwagilia moyo na kuupa pole mwili kwa starehe, unasahau kuwa shida haziishi na huwezi kuulizisha mwili hata ufanye nini.

La msingi tujitahidi kusave matumizi.
 
Back
Top Bottom