Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Apa ndipo napata maana ya ule msemo mtu akiwa kijini anajua watu wanapata pesa zaidi na wanaotumia kama waliona hivo type Uzi wa SoMo jinsi gani tuziweke kukwepana na vishawishi maana utaacha hiki utataka uterezi pesa ishatumika pia sasa Tuache kipi tuchukue kipi
 
The current generations are creating short term pleasure for long term painful.

Sent using Jamii Forums mobile app
The current generation is concerned with what they see now, the future and its hidden glory does not concern them until they are in their prime.
I think If people could stick with the five laws of gold and sevens means of curing a lean purse, they would not be struggling financially..In summary, work, live on a budget and stick to it.
 
Weekend inaishia lkn najua kuna vijana huko wapo wanajilaumu sasahvi kwa matumizi na kufuru za jana jumamosi
 
Umeandika point sana ila umeharibu ulipotaja walimu.Wapo walimu wana mshahara mikubwa kuliko mnavyodhani.Acheni dharau watu was Jf bana
 
Mwaka juzi mida ya saa 9 usk nimetoka nje pale samaki spot Moro nipande boda nisepe, DJ sijui aliniona kama nataka kuondoka?, si akapiga ile nyimbo ya Lavalava "akinipenda mama inatosha"! Weeeeh nilirudi ndani kwa spidi ya 5G mamaeeer!
 
Akuna kocha wa mafanikio acha ufala bana
Dogo unaweza kukuta unamuita fala bosi wako au mume wa mama ako.

Kamuulize pdidy kocha wake ni nani, kamuulize billgates pia, wote watakwambia ni Ray Dalio. Unaposema hakuna kocha wa mafanikio unazidi kuonesha upuuzi wako na refined, grade A
 
Umeandika point sana ila umeharibu ulipotaja walimu.Wapo walimu wana mshahara mikubwa kuliko mnavyodhani.Acheni dharau watu was Jf bana
Vibwagizo tu hivo, kila nlipoandika vibwagizi nmeweka ishara za kucheka
 
Mwaka juzi mida ya saa 9 usk nimetoka nje pale samaki spot Moro nipande boda nisepe, DJ sijui aliniona kama nataka kuondoka?, si akapiga ile nyimbo ya Lavalava "akinipenda mama inatosha"! Weeeeh nilirudi ndani kwa spidi ya 5G mamaeeer!
Hahaa.. you belong here
 
Hapo kwenye kutumia pesa Kwa nidhamu ndo nilishaga shindwa aiseee[emoji16][emoji16]
 
Ulichowaambia ni ukweli mtupu.

Nina vijana wangu nikiwaambia mimi nilikuwa naosha magari,lakini nilikuwa natunza hela kidogo kidogo kwa malengo na pombe ilikuwa mbali nami kwa kipindi hicho,labda tudemu kwa mbali kwa kipindi hicho. Nikafungua duka. Nikanunulia gari la kwanza miaka miwili baadae,hapo nina uwanja,najenga taratibuuu.

Kikubwa malengo. Hawa madogo wa siku hizi kila kitu wanaona wanachelewa. Wanafikiri zipo hela za kudondoka moja kwa moja nyingi,halafu afanye mambo yote kwa mkupuo.


Ndani ya mada,kipindi mimi nina mtaji wa milioni 40. Mjombaangu akawa anastafu anapata kiinua mgongo cha milioni 250. Nikampa plan hizo pesa afanyie nini,akaona kama nazimendea hela zake. Nikamwambia mimi sina shida hata na senti 5 yako ila nakusaidia ksbb nawajua nyie wastaafu,utarudi kunisumbua muda si mrefu.

Nikamwambia mimi nina milioni 40 tu,lakini ninazo nyingi kuliko zako milioni 250. Kwani miaka miwili mingi?. Nikawa na mtaji wa kama milioni 90+,anakuja kukumbuka yale maneno yangu na anaona aibu hata kunisalimia. Kachokaa hatari
CHAI.. Kwani mjomba wako ni Mbunge? Mtumishi wa serikali mwenye mafao kiasi hicho ni lazima ana mshahara mkubwa, na tayari amejipanga vyakutosha kabla ya kustaafu. Acheni kuleta stori za kwenye vijiwe vya kahawa hapa
 
Back
Top Bottom