KabisaaaHahaha..........unajikuta kila siku unataka kutafuna tu ๐ ๐ ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaaHahaha..........unajikuta kila siku unataka kutafuna tu ๐ ๐ ๐๐๐
Alipie TangazoParagraph ya mwisho ndio lilikua lengo la huu uzi.
Haya Bi'dada zama Pm sasa.
Pini nakataa mzeeThis is serious trouble then, kuna na kina 'CHUMA ULETE', nadhan washakuweka pin
The current generation is concerned with what they see now, the future and its hidden glory does not concern them until they are in their prime.The current generations are creating short term pleasure for long term painful.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo unaweza kukuta unamuita fala bosi wako au mume wa mama ako.Akuna kocha wa mafanikio acha ufala bana
Hahaa.. you belong hereMwaka juzi mida ya saa 9 usk nimetoka nje pale samaki spot Moro nipande boda nisepe, DJ sijui aliniona kama nataka kuondoka?, si akapiga ile nyimbo ya Lavalava "akinipenda mama inatosha"! Weeeeh nilirudi ndani kwa spidi ya 5G mamaeeer!
SanaWakiona watu wana push Prado wanachukulia poa sana.
Pesa inahitaji adabu sana
CHAI.. Kwani mjomba wako ni Mbunge? Mtumishi wa serikali mwenye mafao kiasi hicho ni lazima ana mshahara mkubwa, na tayari amejipanga vyakutosha kabla ya kustaafu. Acheni kuleta stori za kwenye vijiwe vya kahawa hapaUlichowaambia ni ukweli mtupu.
Nina vijana wangu nikiwaambia mimi nilikuwa naosha magari,lakini nilikuwa natunza hela kidogo kidogo kwa malengo na pombe ilikuwa mbali nami kwa kipindi hicho,labda tudemu kwa mbali kwa kipindi hicho. Nikafungua duka. Nikanunulia gari la kwanza miaka miwili baadae,hapo nina uwanja,najenga taratibuuu.
Kikubwa malengo. Hawa madogo wa siku hizi kila kitu wanaona wanachelewa. Wanafikiri zipo hela za kudondoka moja kwa moja nyingi,halafu afanye mambo yote kwa mkupuo.
Ndani ya mada,kipindi mimi nina mtaji wa milioni 40. Mjombaangu akawa anastafu anapata kiinua mgongo cha milioni 250. Nikampa plan hizo pesa afanyie nini,akaona kama nazimendea hela zake. Nikamwambia mimi sina shida hata na senti 5 yako ila nakusaidia ksbb nawajua nyie wastaafu,utarudi kunisumbua muda si mrefu.
Nikamwambia mimi nina milioni 40 tu,lakini ninazo nyingi kuliko zako milioni 250. Kwani miaka miwili mingi?. Nikawa na mtaji wa kama milioni 90+,anakuja kukumbuka yale maneno yangu na anaona aibu hata kunisalimia. Kachokaa hatari