Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Afidiwe muda wake au sio? Masikin jeuri tuna tab sana.Bora utumie huo muda kwenye burudani ya soka badala ya ku establish connection?.
Haya sawa..kila mtu yuko huru na muda wake.
Mkuu nikuulize kitu una CV? Km unayo kuna kipengele cha 'Hobbies & Interest' ulikijaza au hua unakiacha empty?

Nipe jibu alafu nikupe ufafanuzi kwa upana zaidi maana naona hatuelewani,
 
Mkuu nikuulize kitu una CV? Km unayo kuna kipengele cha 'Hobbies & Interest' ulikijaza au hua unakiacha empty?

Nipe jibu alafu nikupe ufafanuzi kwa upana zaidi maana naona hatuelewani,
NImeshawah kuandika CV na kui update si zaid ya mara 3 toka nimalize chuo 2013. I dont mind about CVs..Nikikuomba CV ni katika formalities tu ila sinaga muda na CV za watu..wala ya kwangu mwenyewe.

NB.
CV ni ujinga ujinga tu ambao una maana huku kwetu africa.
 
Just imagine boss anatoa jibu la hivi umesema CV ni nini? Alafu kuna watu umewaajiri bila ya kuona CV zao?
I have them..i just dont care about them. They are not really helping when it comes to perfomance.
Ukikua ndio utajua. Kwasasa mimi na wewe tumekaa opposite sides on a table. We cant think alike
 
Ajira hakuna (ajira ni chache) ila kazi zipo.
Imba Amapiano au Singeli mdomo si unao
I have them..i just dont care about them. They are not really helping when it comes to perfomance.
Ukikua ndio utajua. Kwasasa mimi na wewe tumekaa opposite sides on a table. We cant think alike
First question: show us your CV & academic certificates, where is your CV?
 
Vijana wa Sasa wengi ni wapumbavu hizi social media zimewaharibu. Wako na exposure ya starehe kuliko kujituma. Hawajipendi kuliko wanavyopenda kuonekana.

Ajira hakuna (ajira ni chache) ila kazi zipo.


#Ukiwa na povu tafuta nguo ufue.
Wenye akili watakuelewa vizur.
Huhitaji cv kupata kufanya kazi. Kitu ambacho vijana hawapendi. Wengi tunapenda ajira hatutak kazi
 
Sio kila mtu alizaliwa kwenye shida kwamba usipomsaidia atafeli maisha. Kuna boss mmoja nilienda field, akaja binti mwingine kufanya field akapangiwa kazi ambayo hapendi na hajasomea ila anaweza ifanya. Akaomba abadilishiwe kitengo na yule boss akachukia eti binti kadharau field wakati kuna watu wanaitaka.

Kumbe binti kaja kufanya kazi fulani kupata uzoefu sababu baba yake anafanya kazi kama ile. Alipoona atapotezewa muda akaenda kufanya field ofisi ya baba yake. Kuwa boss sio lazima usikilizwe kila muda na ujifanye mungu mtu na kupenda machawa. Likewise anaweza kuja kijana ukamletea umungu mtu akaondoka kufanya mambo yake na akakuzidi ukabaki na sonona.

Huu uzi una watumwa kwelikweli. Eti boss akikuongelesha hutakiwi kuondoka, na akikutongoza hutakiwi kukataa si ndio?
 
Hewala si utumwa.

Boss hatongozi watu walio straight kwenye kazi zao.

Boss hawezi kataa kukosolewa na watu straight kwenye kazi zao.


Ukiona Boss kakutongoza au anaku attack mara kwa mara, basi tambua tatizo limeanzia kwako.
 
Hewala si utumwa.

Boss hatongozi watu walio straight kwenye kazi zao.

Boss hawezi kataa kukosolewa na watu straight kwenye kazi zao.


Ukiona Boss kakutongoza au anaku attack mara kwa mara, basi tambua tatizo limeanzia kwako.
Huu msimamo wawe nao hawa ambao boss akiwaongelesha wako radhi walale hapohapo ofisini wasiondoke?
Boss akiwa na mke mkorofi nyumbani aamue kujichelewesha alete story muda wa kazi umepitiliza basi mfanyakazi akae naye mpaka usiku. Mtu ashindwe kuwa na private life kisa boss atanuna. Eti ndio heshima na kunyenyekea kazi, huo ni utume au wito sio ajira.

Boss asiyejua kutofautisha muda binafsi na muda wa kazi wa mfanyakazi wake mnamuona yuko sawasawa. Kama kutofautisha muda huwezi, kuendeleza taasisi utawezaje. Muda ni rasilimali, hata nyinginezo kama fedha na watu utashindwa kutofautisha. Fedha za miradi utanywea pombe sababu huelewi, maisha binafsi na kazi unaona vyote sawa.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea kwa hisia akili zikakusaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…