Ni vizuri kuchukua tahadhari kama ni uzushi itajulikana tuu... Nimeiweka hapa kwa nia njema kabisaMbona sijaona kauli rasmi ya serikali zaidi ya haya mapichapicha yenu yaliyotapakaa kila kona?
Hii habari mmeitolea wapi?
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji115]Duh! Kumbe kidudu Mtu ndo huyo....Dah halafu kumbe ni kidume?
Utaacha kupanda gari kwa sababu ya ajali?Naacha kula mboga za majani na matunda
na dawa yako wewe ni nini?[emoji30][emoji30][emoji30]Dawa yake ni kusafisha mboga za majani kwa maji ya vugvugu na chumvi
Cha kwanza na muhimu ni tahadhariNakumbuka habari za Kidudu MTU na Popo Bawa ziliwahi kuvuma sana late 90s sujui ziliishia wapi...Haijawahi kuthibitika muathirika wa hizi kitu pasina kuacha shaka...
[emoji40] [emoji40] [emoji34]na dawa yako wewe ni nini?[emoji30][emoji30][emoji30]
mimi dawa yako naijua![emoji40] [emoji40] [emoji34]
Hakuna mdudu mwenye jina hilo. Hizo ni hatua za ukuaji wa mdudu .
Mkuu majani na matunda naeza epuka kwa kula samaki na nyama .....nasiki ukimla tu ni shidaUtaacha kupanda gari kwa sababu ya ajali?
Utaacha kupenda kwa sababu ya kutendwa?