kashabikie rede we topoloNa mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Kwa ukichoandika Manara aliona mbali sana kwamba Yanga wenye akili wawiliNa mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Dah! Kama kuna wapalestina kweny hicho kikos bs smba ktu kitacho mzuia kufuzu labda ascheze mechi yake zoteWACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
5imba wapo vizuri,wao majayantiii....WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
soma vizuri ulicho andika afu ujipige kwenzi useme wewe ni falaKwa ukichoandika Manara aliona mbali sana kwamba Yanga wenye akili wawili
Hujui mpira kaa kwa kutuliakashabikie rede we topolo
Wee una kichaaa? Simbaa aanzie nyumbani ktk hii hatua?Na mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Wee em Relaaaaaxxxx!!!Awana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.
Ila mmeamua kuwapa sifa sizo.
Misimu miwili hi mta struggle mechi za kitaifa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapalestina na mpira wap na wap...kuna mwingine eti anaitwa Manzi[emoji23][emoji23][emoji23]
We ndio dishi limeyumba ngoja nilitikise kidogo likae sawaWee una kichaaa? Simbaa aanzie nyumbani ktk hii hatua?
Em teseka taratibuu bwasheeeee, Simbaa ni mwendo wa humu tyuu, humu tyuu.
Poleeeee wee