Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi

Dah! Kama kuna wapalestina kweny hicho kikos bs smba ktu kitacho mzuia kufuzu labda ascheze mechi yake zote
 
5imba wapo vizuri,wao majayantiii....
 
Simba makundi ni lazimaa, sio hiyariii
Unataka ndio hivyoo, hutakii ndio hivyooo.
 
Na mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Wee una kichaaa? Simbaa aanzie nyumbani ktk hii hatua?
Em teseka taratibuu bwasheeeee, Simbaa ni mwendo wa humu tyuu, humu tyuu.

Poleeeee wee,
 
Awana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.
Ila mmeamua kuwapa sifa sizo.

Misimu miwili hi mta struggle mechi za kitaifa.
Wee em Relaaaaaxxxx!!!
Simba to the final CAFCC.
 
Mimi Yanga kweli ila mpira si upo wazi wale waarabu hawana Timu ya kuitoa Simba ila wangecheza na Azam hapo ningekuelewa maana Azam wao wanacheza CAF kama mashindano ya ligi za ndani.
Ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…