DOKEZO Wafanyabiashara Kariakoo kugoma Mei 15, 2023

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Point kubwa sana hii

Ova
 
Waachane Ni migomo ni njia ya kizamani Sana yakutatua migogoro...wakae meza moja nawahusika wayamalize.
"Ila list za kielectronic watoe waache janja janja "
Wakae meza moja na nani
Alafu awasikilize

Ova
 
Tuliambiwa sasa hivi wafanyabiashara wanafanya kwa Uhuru.

Kuna rafiki yangu yupo dodoma alikua na duka la hardware, walimkadiria kodi, juzi Kati wamerudi na kusema walikosea.wamemuongezea kodi mara 4 ya aliyokua analipa awali alafu wamemuambia alipe na siku za nyuma[emoji30][emoji30][emoji30]

Yeye kosa lake lipi? Kama walikosea si ni wao TRA sio yeye. Alfu walikosea vipi ikiwa Kodi alikua analipa miaka yote, kwa nini kukosewa na kumuongezea Kodi maradufu iwe sasa?
 
Ngoja niifatilie hii habari kwa kina
 
Lipeni tu kodi. Kodi ipo kisheria. Sote tuhakikshe tunalipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Daah, sasa kweli mimi nisifungie ofisi J3 wakati kuna wateja nimeshawapanga wakapangika, na J3 nimekubaliana nao tukutane ofisini? Aagh, sio kweli

 
Lipeni tu kodi. Kodi ipo kisheria. Sote tuhakikshe tunalipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Walimsema sana JPM ila hatukuona haya madudu. JPM alikua anadili na wafanyabiashara wakubwa importers wakamsema sana ila sasa naona wanakandamiza low income earners tutaelewana tu.
 
Tunakokwenda kubaya kodi zitakua hazilipwi tutaanza kukomoana mimi kama mfanyabiashara wa kkoo kesho nitakua front
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…