FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tunakokwenda kubaya kodi zitakua hazilipwi tutaanza kukomoana mimi kama mfanyabiashara wa kkoo kesho nitakua front
Daah, sasa kweli mimi nisifungie ofisi J3 wakati kuna wateja nimeshawapanga wakapangika, na J3 nimekubaliana nao tukutane ofisini? Aagh, sio kweli
Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii
========================== UPDATE: 27/06/2024 https://www.instagram.com/reel/C8tOKmmqjWh/?igsh=MWJhZWFjNTNhajNtcg ======================= TRA Tanzania Tanzania tuna mfumo wa kodi ambao naweza kuuita ni 'Tax chain system'. Yaani ni kwamba bidhaa moja inaweza ikapigwa kodi hata mara kumi...www.jamiiforums.com
Hili swala liko kisiasa zaidi, litamalizwa kisiasaKama kweli wameamua na wakikomaa basi watashinda
Ngoja tuone
Ova
Ndicho alichokipanda mama kupitia teuzi za kufutana machozi.
Nchi hii inahujumiwa na sera mbovu za kodi kwa makusudi! Lengo la kodi ni kufukarisha wananchi wa kipato cha chini. Ndiyo maana TRA wapo kwa lengo la kuwabana machinga, mamantilie, baa na vigrosary mitaani, watu wasio na mitaji au wenye mitaji midogo.Kuna tetesi ya mgomo wa wafanyabiashara eneo la kariakoo.
Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuaguzi wa risiti
Wao wapo tayari kufanya biashara kwa uhuru na kulipa kodi bila mambo ya rushwa rushwa na maonezi.
Rai kwa mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka hili jambo lisitokee. Pale ni kitovu cha biashara ukanda huu. Makosa kidogo tunaweza hamisha hii biashara kwa jirani zetu.
Tuna mifumo mobovu sana eb we fikiria tanzania tuna agiza samaki toka nje , tanzania tuna agiza toothpick toka nje .... halafu kama taifa tuna pata 1% kutokana na mazao ya baharini (including maziwa) imagineTanzania tunaagiza mno kuliko tunachozalisha. Hiyo inasababisha biashara kuwa nyingi kuliko wateja. Hapo kitakachotokea biashara kuwa ngumu, utokaji mgumu, fitina na hujuma Zitakuwa nyingi. Vita za kibiashara pia zinasababisha watu kufanyiana hujuma kwa kupandishiana kodi na tozo na fitina bandarini.
Hata kodi zikipunguzwa itapunguza makali kwa muda tu, baadae yatarudi yaleyale
Bandari inatakiwa iexport vitu toka tz kwenda nchi zingine duniani. Sio kuagiza tu.
Atakayefungua bila shaka ataipata freshiNi wote au wale wauza vitenge tu
Kwani ACP Muroto si bado yupo? Waandamane waoneKuna tetesi ya mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo.
Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuguzi wa risiti
Wao wapo tayari kufanya biashara kwa uhuru na kulipa kodi bila mambo ya rushwa rushwa na maonezi.
Rai kwa mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka hili jambo lisitokee. Pale ni kitovu cha biashara ukanda huu. Makosa kidogo tunaweza hamisha hii biashara kwa jirani zetu.
Kwanini hawataki stoo zisajiliwe?Hili la usajili wa stoo hili ndio sababu ya huo mgomo wasisingizie urasimu bandarini
Mm nimembiwa na mmoja wa wafanyabiashara kariakoo kuwa wanagomea tozo zinazolazimishwa mizigo ya stooKuna tetesi ya mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo.
Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuguzi wa risiti
Wao wapo tayari kufanya biashara kwa uhuru na kulipa kodi bila mambo ya rushwa rushwa na maonezi.
Rai kwa mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka hili jambo lisitokee. Pale ni kitovu cha biashara ukanda huu. Makosa kidogo tunaweza hamisha hii biashara kwa jirani zetu.
"Urasimu Bandarini" Enzi za JPM usingesikia habari za urasimu Bandarini. Hivi kwasasa nchi hii Ina Rais kweli??Wafanyabiashara wa Kariakoo kufungwa maduka siku ya Jumatatu tarehe 15/05/2023
View attachment 2621958