Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Wewe unaweza kwenda kukodi duka, ukawekeza kwenye furnitures, ulinzi, kwenda kukopa bank na kununua inventory; kama unajua baada ya miezi mitatu mwenye jengo baada ya miezi atakuja kukutoa.Unyanyasaji wa vipi, terms za mkataba si wanazijua lakini..?
Ujinga gani wewe mjane?
😀 😀 😀 😀Kuongoza watanganyika Bora upewe kuchunga Mbuzi kidogo wanaweza kuelewa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuongoza watanganyika Bora upewe kuchunga Mbuzi kidogo wanaweza kuelewa
Wakubwa wana pesa za kusimamisha kitu hapo sio cha kawaida !!Naona kama wameadhibiwa wale kwasababu ya ule mgomo, sitegemei hao jamaa waje kupangishwa tena kwenye hayo majengo mbele ya safari, ndio wameshaondolewa kijanja hivyo.
Ngoja tuone kama kweli huo mradi mpya utaanza hivi karibuni, au ndio kwasababu wameshapata sababu ya kuwaondoa hao jamaa, basi na mambo mengine yatalala.
Huo ni mkataba wao tu; ila hiyo ni taasisi ya serikali kuna sheria mama ambayo ni universal kwa taasisi zote za serikali.
Ni vilaza tu, msiolewa including huyo lawyer alie draft huo mkataba.
Halafu Issue kubwa zaidi uwezi kupoteza biashara zaidi ya elfu moja na watu zaidi ya 10000 si ajabu wenye direct and indirect dependant na hizo biashara; pamoja na kodi za biashara kishamba ivyo.
This why people do investment appraisals first. Swala ambalo sidhani kama wamepelekewa kwenye baraza la mawaziri ku-justify uharibifu huo kwanza.
Vipi eneo likuwa lako usingeliendeleza?Wakavunje Michenzani Zanzibar kuna majengo nayo yamechoka mbaya na yakizamani; na wapangaji ZHC wanamikataba kama hiyo.
Zanzibar inapokea watalii wengi sana wakijenga nyumba mpya za kisasa na gated community; awawezi kukosa wazungu wakuwapangisha kama holiday let mwaka mzima kwa hela nyingi sana za kigeni.
Point hapo ni kwamba hela ina mipaka uwezi ku disrupt maisha ya watu kisa eneo unadhani linathamani zaidi; na wala huna alternative ya kuwapeleka watu unaowatoa kwenda kwingine huo ni unyanyasaji.
Hayo ni mawazo yako.Mimi ninasema ukweli. Ukiona huo ukweli ni negative kwako,pole .Comment zako nyingi ni negative hata sehemu ya kutumia akili ndogo tu wewe huwezi bali unaendeshwa na mihemko ya kipumbavu,bila shaka utakua unapitia kwenye maisha magumu sana,hivyo unatumia hizi negative comment zako kama njia mojawapo ya kujifariji.
Sijasoma kabisa.We nawe umeishia cjui darasa la pili.
NHC wakitoka hapo K/koo wahamie pale Fire wavunje yale majengo yote ya kikoloni, wajenge malls.
Kanjibhai wakahamie kando ya mji kama chanika n.k sio kukaa K/koo,posta na upanga tu.
Pia hii barabara ya kutoka fire kuelekea muhimbili kuna majengo mengi ya kizamani yanatakiwa kuvunjwa na kujengwa malls na maeneo mapya ya makazi.
Kwa utawala wa Mama Samia, Dar-es-salaam inaenda kuwa kama Dubai.
Sijasoma kabisa.
Wewe ndio umesema hivyo, lakini hakuna justification.Kama pako vile kuna biashara hio uliosema ww.je pakiwekwa kisasa zaid?huoni kua ndio idadi itaongezeka
Sera ya Nchi miaka hii Serikali si haifanyi biashara, hii imetoka wapi tena?Hizi nyumba za nhc zishakua za watu binafsi, unalipa Kodi milioni Moja kwa mtu ye anapeleka 250k serikalini, wazivunje zote tu
Nchi imekuwa ya hovyo sana. Mwenye nyumbani anataka kuboresha nyumba yake hivyo anakupa notisi ya kuhama kwa mujibu wa mkataba wewe unakimbilia kwa Rais azuie uboreshaji ili wewe uendelee kuitumia!Kwanini uvunje investments ambazo ni cashcows za shirika kisa tu ni prime area. Badala ya kutafuta maeneo ya wazi utanue jiji kama una hiyo mitaji.
Hizo ndio akili za investment za watanzania kupenda mambo rahisi. Serikali imewapa hela ya kumaliza mradi wao wa Kinondoni na Kawe apartments; kwanini wasisubiri iishe wapime occupancy rates ya hiyo miradi kabla ya kuruhusu upuuzi mwingine.
Ni mipango ya ovyo mno; kwa sasa NHC inapata 100% revenue ya hayo majengo, si ajabu baada ya uwekezaji wa ubia kila kitu kikikiisha mapato yakawa chini baada ya kukagawana na mwekezaji.
Hakuna la maana hapo zaidi ya uwekezaji, halafu kuondoa biashara 1000 ambazo zinalipa kodi kiasi gani unapoteza serikali, kiasi gani cha hasara unaweza zipa Bank, familia ngapi unazipa umaskini.
Huyu mama anachezewa sana na mafisadi, 2025 nyumba yake ya uraisi anayostahili kujengewa na serikali huko Kizimkazi au popote alipochahua tuakikishe ishaisha; hiyo kazi sio ya size ata kidogo tunalazimisha tu.
Dunia ina rules zake, uwezi kufanya mambo kwa kujisikia. Ni kuzuia mambo kama haya ndio maana watu wakabuni ‘implied terms of contract’ ili usikurupuke tu kuvunja mikataba ya biashara.Vipi eneo likuwa lako usingeliendeleza?
Ndo maana wamepewa siku tisiniDunia ina rules zake, uwezi kufanya mambo kwa kujisikia. Ni kuzuia mambo kama haya ndio maana watu wakabuni ‘implied terms of contract’ ili usikurupuke tu kuvunja mikataba ya biashara.
👋