Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Namba simu
 
Ninatafuta chimbo la vitenge kwa bei ya jumla, kwa anayejua ninaomba anisaidie nipo Dar. Nilipita kitumbini kwenye yale maduka yanayotazamana na barabara ya Uhuru bei walizonitajia inazidi kidogo bei ya kariakoo. Ikabidi nirudi kariakoo kuchukua piece kadhaa nilizokuwa nahitaji.
 

Nenda china [emoji630] mkuu
 
Naomba kuelekezwa chimbo la kardet, jeans na tisherts kwa kariakoo
 
Nenda china [emoji630] mkuu
Ahsante kwa ushauri wako mkuu. Kwa mtazamo wangu safari ya China inabidi mtu uwe na uwezo wa kuchukua mzigo mkubwa. Kwenda China wakati mzigo ninaochukua ni piece 100 hapo nitakuwa nimecheza pata potea.
 
Ahsante kwa ushauri wako mkuu. Kwa mtazamo wangu safari ya China inabidi mtu uwe na uwezo wa kuchukua mzigo mkubwa. Kwenda China wakati mzigo ninaochukua ni piece 100 hapo nitakuwa nimecheza pata potea.
Mkuu nani kakudanganya mpaka uwe na mihela mingiii achana na hayo mawazo
 

Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri. Ata kariakoo utapata ila bei ya mswahili na mswahili unamfahamu vizuri.

Unaweza chagua kwenda chukulia uganda, rwanda kama unaona china mbali
 
Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri. Ata kariakoo utapata ila bei ya mswahili na mswahili unamfahamu vizuri.

Unaweza chagua kwenda chukulia uganda, rwanda kama unaona china mbali
Ahsante kwa ushauri mkuu, leo nimepita mitaa hiyo kuna duka moja nimeona wana bei nafuu. Pia nitatafuta mtu ambaye yupo Uganda, ili nijue bei zao zinacheza ngapi.
 
Wadau za sahv mwenye kujua yanapopatikana makapeti haya ya kawaida sio Yale ya manyoja nataka kununua Kwa jumla naomba msaada
 
nishaipewa live location pale agrey na likoma nimefika pale location inasema lakini ajabu sioni hilo duka mpaka nikaahirisha
 
mwenye kujua chimbo zuri la vifaa vya umeme, bei ya julmla nzuri. nataka kufungua duka la vifaa vya umeme mkoani
 
Wapi napata chimbo la macover ya cd,mitaa gani ama kama kuna mtu anafanya hio biashara tuwasiliane
 
Naomba kuelekezwa maduka ya wachina yanapopatikana yanayouza viatu vya kike jijini dar er salaam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…