kodi ya Tanzania
Member
- Apr 17, 2022
- 97
- 133
Bro. Inabidi nami unipe chimbo la mazaga zaga nitakushukuru sana nduguMi kuna machinga nilikuwa nachukua mzigo kwake,hivyo nampa pesa ye anazunguka kwenda kuchukua mzigo.Ukimuuliza asemi, siku nilienda na vijana wangu watatu ambapo yeye hakuwaona. Hivyo nilivyomkabidhi pesa akaondoka, vijana wangu wakamfuatilia mpaka wakajua maduka yote aliyoingia. Tangia siku hiyo hajaniona na majamaa wa madukani washanizoea hata bila pesa wananipa mzigo au wanatuma mkoani.
Vipi kampuni yenu iliishia wapiHivi Karibuni kampuni yetu itaanzisha Huduma za kuwatafutia wafanyabiashara wa mikoani bidhaa wanazohitaji hapa DSM, au nje ya nchi. Tutachukua oda zenu, tutawapa bei, mtatuma pesa, tutanunua na kuwasafirishia mlipo. Tutawatoza ada kidogo tofauti na gharama ungezitumia kuna DSM na kurudi. Stay tuned!
Namba za simu?Kwa habari ya flash na memory cards OG na copy nichek Mkuu, hapo Likoma Sina mpinzani kuanzia wachina mpaka Waswahili
Flash imation na SanDisk -4gb5000
8gb6000
16gb6500
32gb7500 bei za jumla kuanzia 10pcs kila size
Memory cards SanDisk na Microdigit 2gb 4000
4gb4500
8gb6000
16gb6500
32gb7500
Hiyo ni jumla kuanzia 10pcs kila size
Memory cards copy zenye cover ni 2100,zisizo na packing 1800 ,hiyo ni kuanzia 100pcs
AsanteUlizia Akiba Bank ipo barabara ya uhuru
jaman naomba kujua chimbo la toys, biscuits, chocolate na pipi kwa hpa DAR
Nmeenda lkn bei zao n sawa na za morogoroNenda kitumbini
Hiv kama nna laki 5 inatosha kuagiza bidhaa china?? Bidhaa Kama jeans??
Umeshapata?Mambo vipi waheshimiwa...zinahitajika 100pc kwa ajili ya watoto wa shule za msingi anaeuza au anejua mahsli panapouzwa naomba anisaidiee...nikipata kwa dar au Mwanza itapendeza zaidiView attachment 2215422
Hapo china plaza wanauzaje wao... kwa jumla auNdio mkuu lakini ni sio china [emoji630] ni china plaza